Search results

  1. Mzani

    Viwanja vilivyopimwa Mpiji vinauzwa

    Bado vipo
  2. Mzani

    Viwanja vilivyopimwa Mpiji vinauzwa

    Salaam wanajamii, Nina viwanja vilivyo pimwa vimebaki vinne, vipo Dar es Salaam mpiji kilomita za makadirio kama 8 hivi kutoka mbezi luise. Bei ya kiwanja ni kuanzi Tsh 18M cha ukubwa wa 1049 sqm kiwanja no. 5 Wasifa wa eneo: Kuna umeme/ nguzo pembezoni mwa viwanja, Viwanja vipo bara bara...
  3. Mzani

    Viwanja vilivyo pimwa vinauzwa Mtwara mjini

    Viwanja bado vipo, Wekeza kwenye ardhi. Idadi ya watu inazidi kuongezeka kila kukicha Na ardhi nayo haiongezeka ila inapanda thamani. Nunua kiwanja kilicho pimwa kabla havijapanda thamani. Karibu
  4. Mzani

    Why human being are said to be inteligent than other organism? (Give out 3 points)

    We are the most powerful creatures because of the one and only reason, and that is "we are the master mind of our own lives" You can do, be or have anything through thought and feeling. There is the Saying of the wise "YOU ARE WHAT YOU THINKING" What is happening in our daily lives is the...
  5. Mzani

    Kiwanja kilichopimwa sqm 1049 kinauzwa dar es salaam

    Halo Wanajamii Nina kiwanja kipo mpigii/msakuzi karibu na shule ya bethaida/karibu na kituo kinachoitwa Mahakama Mtaa wa mpigi, kata ya mbezi Sifa za kiwanja ni: Kimepimwa na kina ofa Ukubwa ni sqm 1049 Ni kiwanja cha 4 kutoka bara bara kuu ya mpigi magoe (mita 80 kutoka high way) Kuna...
  6. Mzani

    Viwanja vilivyo pimwa vinauzwa Mtwara mjini

    Viwanja bado vipo. Karibuni
  7. Mzani

    Viwanja vilivyo pimwa vinauzwa Mtwara mjini

    Du aise, tunashukuru Hiyo ni changamoto ya maendeleo, mtwara watu wanajenga kwa kasi na miundombinu iliyopo haikidhi kulingana na ukuaji wa mji. Hili suala litatatuliwa kwa sehemu ya mitaa, ila maeneo mengine ni issue, viwanja vya mjimwema pia ni sehemu ya suluhisho Karibu sana
  8. Mzani

    Viwanja vilivyo pimwa vinauzwa Mtwara mjini

    Ndugu Chaza Nashukuru kwa unayoyasema na ni kweli. Kuhusu kilimahewa, binafsi sina plot maeneo yale, ila wapo watu wanaouza kutokana na sababu zao binafsi. Kwa ujumla plots zipo, ila bei ndio ipo juu. Karibu mdau
  9. Mzani

    Viwanja vilivyo pimwa vinauzwa Mtwara mjini

    Ninaweza kupokea pesa kwa installments katika mazingira ya kukubaliana, kwa sababu, mtu akinunua kiwanja leo inabidi kesho nikafuatiliie hati ambayo itakua kwa jina lake kulingana na mkataba tuliosaini, na mchakato wa hati una gharama zake. Changamoto inakuja pale ambapo hati imeshatoka na...
  10. Mzani

    Viwanja vilivyo pimwa vinauzwa Mtwara mjini

    Safari imeshaanza ni kuthubutu tu Bara bara zimeshachongwa,Watu wameanza kusogeza mchanga/matofali nk Karibu sana
  11. Mzani

    Viwanja vilivyo pimwa vinauzwa Mtwara mjini

    Utajaaliwa utapata pesa, yote yanawezekana. Karibu
  12. Mzani

    Viwanja vilivyo pimwa vinauzwa Mtwara mjini

    Kwa ujumla naweza kusema kwamba kutoka center ya mtwara ambayo nafikiri ni maeneo ya bima mpaka mjimwema kadirio la chini ni km 15, kadirio la juu ni km 17/18, ninasema hivyo kutokana na bara bara utakayopita kutokea mikindani, na eneo la mjimwema ni kubwa sana na tambalale lote. Kuna njia...
  13. Mzani

    Viwanja vilivyo pimwa vinauzwa Mtwara mjini

    Sawa Tukianzia round about ya mnarani kabla ujaingia hiyo bara bara ya tanu unayoisema ambayo inaelekea bima hadi parishkanisani. Kuanzia hapo round about unaelekea mikindani (mji mkongwe) njia yakwenda lindi,. kutoka round about mpaka mikindani ni kilometa 10, kutoka .mikindani unaancha bara...
  14. Mzani

    Viwanja vilivyo pimwa vinauzwa Mtwara mjini

    Ndugu Mimi sina eneo pale msangamkuu, ila kuna watu wanamaeneo yao, wengine wanauza vipande visivyo pima. Mimi nina viwanja eneo la mjimwema tu na ni viwanja vilivyo pimwa Karibu
  15. Mzani

    Viwanja vilivyo pimwa vinauzwa Mtwara mjini

    Viwanja bado vipo Kwa wale ambao hawapajui vizuri mjimwema ni eneo jipya na ndio linaanza kuendelezwa, kuna eneo la chuo cha TIA ambapo awamu ya kwanza wameshajenga lecture hall, kuna eneo la chuo cha SAUTI (Kwa sasa jina limebadilishwa kwa huku mtwara) halijaendelezwa, kuna eneo la AICC...
  16. Mzani

    Viwanja vilivyo pimwa vinauzwa Mtwara mjini

    Salaam wana JF Ninauza viwanja vya makazi, vipo eneo la mjimwema mtwara mjini Eneo ni zuri sana na ni tambarare. Bara bara zimeshachongwa, hakuna umeme, hakuna maji Viwanja ni sqm 450 (15 kwa 30) TSh 3,700,000 na sqm 600 (20 kwa 30) Tsh 4,800,000 Gharama hii inajumuisha upatikanaji wa hati...
  17. Mzani

    Natafuta kiwanja

    mbezi msakuzi/mpigi vipo karibu na bara bara kuu, kama unaweza kuongeza ela kidogo nicheki kwa no. 0784 707789 .
  18. Mzani

    Nauza kiwanja chenye hati mtwara mjini tsh 12mil

    Salam wana jamii Ninauza kiwanja chenye hati, ukubwa wake ni 520 square meter, bei ni Tsh 12mil. Kipo mtwara mjini, eneo la mangamba njia ya kwenda airport zilipojengwa nyumba 50 za PSPF. Kwa wanao hitaji kununua wasiliana nami kwa no. 0784 707789. Karibu.
  19. Mzani

    Amazon kindle paper white 3G

    Mudawote Mi nina TSh 200,000 kama unaiuza hiyo kindle paper white 3G. Kama kuna maelewano zaidi nicheki kwa no. 0784 707789 Asante.
  20. Mzani

    Kindle Paperwhite WiFi (not built-in-light version) inauzwa

    Ni Tsh ngapi? na unamaanisha nini ulivyoandika "not built in light"
Back
Top Bottom