Jamani imeandikwa "This includes...":
Maana yake ni wamepewa msaada wenye thamani ya 3bn. Katika msaada huo baadhi ya vitu vipo...ambazo ndio hizo computers na printers.
Majukumu yake kama Mnikulu na maelezo ya Utangulizi
Kazi yake kubwa ni kusimamia majengo yote ya ikulu kwa maana ya shughuli za utawala. Yeye ndiye anahusika na usafi na decorations zote zinazohusu ikulu. Ni mtu anayeweza kuamua muonekano wa ikulu ukoje na hata kupanga na kuamua aina ya nguo...
Ukienda voda, utapata details zote kuhusu hiyo namba. Utaona kama hizo sms zilitoka kwenye namba hiyo, na kama kweli sms zilienda kwa namba ya msichana.
Kwa hiyo tuache uzushi, ni rahisi sana kupata ushahidi. Msituletee stori za ajabu ajabu hapa. Tuletee facts.
Wanajamvi naombeni msaada.
Zamani nilikua nikisikia msichana kabakwa, basi kulikua na mambo yafuatayo:
1. Huyo msichana kafanyiwa kitendo ambacho hajakipenda
2. Hatapenda kirudiwe tena
3. Sehemu aliyobakwa ni sehemu ambayo anatakiwa kuwepo, na hata asingebakwa, hakuna ambaye angeshangaa...
Mi naona swala hili jibu lake ni kusoma vipengele vya sheria tu....comments nyingine zooote ni longolongo tu.
Haya, kwenye katiba, hizi ndizo sehemu ambapo nimeona "polisi" wametajwa:
1. Sura ya tisa - Majeshi ya Ulizi - section 147 (4)...kipengele hiki kinasema polisi pia ni wanajeshi (watu...
Hii Story kweli inaudhi.
Ila tungepata video clips zinazoonyesha hao wanaoojiwa, na hizo scanned copies za hayo maandishi unayosema Balozi aliandika, ingesaidia kweli.
Maana si tunaweza kuanza kupandisha na jazba na hasira kwa serikali....wakati story nzima ni wewe umekaa chumbani kwako...
Hakuna wizara yenye nguvu kama Wizara ya Nishati na Madini, sana sana kwenye masuala ya kuwaweka watu kwenye giza.
Kaanza kwa kukata umeme. Wabongo mkajifanya wabishi mkanunua majenereta.
Mnajifanya mnashindana nae, sasa kasitisha na mafuta.....kuna baadhi ya wabongo wameanza kutumia solar...
Rostam yeye mwenyewe ndio gamba, CCM ndio joka lililojivua gamba Rostam.
Au kwa sababu amejiuzuru na sio kufukuzwa, basi tuseme Gamba Rostam limejivusha!
acheni chuzi binafsi.....mnajuaje, labda ilikuwa ni nyu yia RESOLUTION yake ya mwaka 2000....kuwa kabla hajamaliza miaka 10 yake awe ameshatembelea nchi zote duniani.
I mean, hiyo ni resolution nzuri sana.....na mi nikiwa rais mpaka mwezini nitaenda kudadadeki.
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.