Zipo kibao.
Katiba mpya, gas kutoka mtwara, by 2015 umeme utakuwa stable sana. Barabara za lami mikoa yote itakuwa imeungana na wilaya zote pia zitakuwa na lami, kila kijiji kitakuwa na umeme na kwa hapo Dar itakuwa ni daraja la kigamboni.
Yapo mengi tu wewe fungua macho ya ubongo utaona
Habari dada? Pole kwa yanayokusibu dia, kiukweli huyo mwanaume hakufai ni vyema ukafanya maamuzi sasa ya kuachana naye kuliko baadaye mambo yatakapokuwa magumu zaidi! Mueleze ukweli vile umavyojisikia juu yake hasa hilo suala la kutokuwa mkweli na miwazi kwako na hilo la kupenda kulelewa...
Serikali inatakiwa kusikiliza kwa makini maoni ya watu makini na wasio na woga na wawakilishi wa ukweli wa wawatanzania inayowasilishwa sasa hivi bungeni na kiongozi wa kambi ya upinzani Freeman A. Mbowe. kKwa kweli anaongelea mambo yote amabayo watanzania tunatamani serikali ya ccm iyazungumzie...
Mwenyekiti wa CDM ameanika madudu yanayofanywa na mh waziri mkuu Pinda kwa kupitia ofisi zake za halmashauri za wilaya, Kumbe Pinda alitoa maagizo ya kusimamisha chaguzi za serikali za mitaa ili kupisha chaguzi za chama cha magamba. Kwa hili inaoyesha ni jinsi gani Magamba wanakiuka katiba na...
my God. Mungu Tanzania tunasubiri kudra zako maana serikali tulioambiwa imetoka kwako sasa imeshindwa na hali unaiona . Tunakuomba uwapokee hao wanaokuja sasa kutokana na mgomo wa madaktari maana siku zao zilikuwa bbado ila serikali yao ndio imeamua wafe. Amen
jamani hivi hili litakwepwa mpaka lini? japo nimeona spika ametoa hoja yenye mashiko kidogo kuwa wabunge wasubiri kamati itakuja na nini kutoka kwa madaktari. maana wana kikao leo. japo kwa mtazamo wangu kama serikali haitaki kutoa kauli rasmi basi bunge lijadili na kutoa msimamo, maana kauli ya...
Du sasa hivi ndio anajua kuwa TISS wanaweza kumshauri eeh? maana nina imani amekuwa akipuuza sana ushauri wao siku nyingi. Pia JK aache kusikiliza wagaga jamani nao wanampoteza. Tunasubiri mapya kutoka dom leo.
Ukiona chama kinakimbizia hoja kwenye dini au ukabila ujue hakina hoja za msingi na hakiwezi kutekeleza kinachosema ndio maana hawatoi hoja zenye mashiko. oooohhhh poor magamba
Dr Bana tangu lini akweka bayana wakati yupo kwenye payroll ya magamba? Redet nayo tangu imeanzishwa ni kwa ajili ya kutoa matokeo ya yasiyo na tija kwa umma. Hawafiki huku kwetu Ihambingeto au ifiyo au itunundu wawaone wananchi wawaambie kama hakuna chama mmbadala. hizo tafiti za mezani hazina...
Yaani kama wadau mnakumbuka hata Mh Kagame aliwahi kuulizwa anahitaji nini ili kulikomboa bara la Africa, alisema Mungu angekuwa amemuweka kwenye nchi yenye rasilimali kama Tz na yeye akawa rais basi angekuwa super power wa africa na Dunia hii. Naunga mkono hoja ya Kilaini kwani ni kweli sasa hv...
:yawn: aaa hhhhaaaa hhhhaaaa haaaaa......... Time is now. mdogo mdogo tutafika. viva wadai haki na ukombozi wa kifikra wa Arusha . tupo pamoja tunawaombea kwa Mungu wa kweli asiyependa uonevu wala unyonyaji.
Ole wenu mnaodharau taarifa bila ya kuzifanyia kazi. na mara nyingi mmekuwa mkishangaa yanapotokea. mmesahau usemi wa wahenga MDHARAU MWIBA......................... Mie nipo dom hayo yaliyosemwa ndio yaliyojiri. subirini vyanzo vyenu vinavyochakachua taarifa. Poleni
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.