wakati na soma chuo kuna jamaa alitudanganya yeye ni usalama wa taifa akatuahidi kutupatia kazi mimi na jamaa yangu
aliniomba 50000. nikampa akanirusha hadi wa leo
mi nimekusamehe ila naona kale katabia ka kujipaisha bado unako jitahidi kuwa karibu na watu na usijiandike kwamba wewe ni smart sana jaribu kuangalia bloggers wengine wanavyopendwa na kila mtu. mfano kina millard.majid.djchoka to mention a few
wewe umekalia kujisifu hapa jf badala ya kufanya...
hapa faiza foxy umeonyesha tu chuki zako juu ya ukristu na kwa sababu,tu wewe ni mwislam hayo maneno ya kwenye biblia hiyo sio tafsiri yake umekurupuka Yesu alikuja kwq binadamu wote
lipia gym uwe una fanya mazoezi, af kama utaweza nunua ule mkanda wa kuzungusha tumboni una punguza sana, iko maduka yaliko usawa wa benjamn mkapa parking tower, hii ndo njia rahisi
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.