tatzo sio kubadilisha elimu kuwa pesa tatzo ni shule azifundishi elimu na hazijui maana ya elimu. elimu sio cheti, elimu ni kile unacho jifunza kila siku ndo maana wanafunzi weng elimu zao ziko kwenye vyeti unakuta mtu ukimuuliza unaelimu gan et nina degree, nina masters afu yuko ana landa landa...
education has nothing to do with schools nenda kaangalie maana ya education kwenye oxford dictionary afu uje kwenye vitu vinavyo fundishwa shuleni kwaiyo shule tunafundishwa ili tupate chet kwa namna nyingine elimu inabidi ww binafsi huweze kumrithisha mtu mwengine eiza mtoto n.k unakuwa na...
hakuna mtu aliye ajiliwa nitajili dunian kama wapo ni %1 mtu mwenye phd ni poor tu ata asome hadi kuwa profesor ukisoma kitabu cha poor dad rich dad utagundua siri hio ambao ata moo akikwambia hutaamin ndo maana hutaaendelea kua maskini according to robert kiyosaki if you want to succesed you...
elimu ya shuleni nitofauti na elim ya maisha ata kama ningekuwa nahitaji kushauliwa kuhusu maisha naenda kwa mtu ambaye ajasoma huyo ndio anajua maisha ili mladi tu awe amefanikiwa ndo maana walimu wengi wa biashara hawana vigezo vya kufundisha biashara kwasababu nae alijifunza mambo ya...
huwezi kufanya biashara hata ivyo kama huelewi unacho kifanya labda umesikiliza ushauri kwa mtu ambae hajawai fanya siku zote unaweza kuendesha gari kwa mwalimu ambae aliyekufundisha gari nae awe anajua kuendesha gari kwaiyo wengi wanaofanya biashara kwa hela ya boom weng wanajiweza kwao pili...
jibu ni rahis kabisa kwasababu anakua hakufundishwa elim ya fedha shuleni na kama ukitaka kua tajili kamwe huwezi kufanikiwa kama ni muajiliwa ni biashara pekee inayoweza kukufanya kuwa tajili na siri hii wanajua ni wachache sana ok any way mtu anaweza akasema basi vipi kwa yule muajiliwa anae...
haijulikani kwasababu kila mtu na akaunt yake wangetoa list ingekua unajua kwaiyo wamebak kama wanafunzi minimum 2000 iv sijui ndo wale walio kosea au nakwa wale ambao not yet finalised
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.