habari wana jf. naombeni msaada wa kitaalamu kuhusu usafi wa mwili. huwa najiuliza sana. kama kuoga ni usafi, taulo huchafuliwa na nini? watalaam wa afya watupe majibu ya kitalaam
jamani ninyi mliobahatika kupata wenza wema mshukuruni mungu badala ya kubeza. jamani kuna ndoa zina mateso acha. mimi mwenyewe tumetengana na mke wangu. niulikuwa silali, mara aanze kuimba, mara muziki kwenye cm, akianza kutukana. imagine masaa 12 ucku hupati muda wa kulala, yeye mchana...
Ameongea nini. Nina hamu ya kusikia anasemaje kuhusu uchakachuaji.
Slaa ana nguvu ya watu, Kikwete ana nguvu ya dola
good.dola yote ni watu lakini siyo watu wote ni dola
sina comment kuhusu RA kuendesha nchi. kuhusu kuwanyonya wapiga kura waa igunga, najiweka tofauti na wachangiaji waliopita nikiwa mwana igunga. hakuna kitu ambacho RA anavuna igunga kama jimbo. igunga hakuna madini wala raslimali yoyote anayonyonya. wana igunga wamempa kura kuwa mwakilishi kama...
nimekuelewa mkuu. maneno ya wana jf yamenipa ujasiri. come what comes, niliingia kwa usaili siyo mbeleko. nitamwambia SIWEZI/SITAKI bila kuumauma maneno.
Wana jf
Niko katika wakati mgumu. bosi wangu ananitaka kimapenzi, nimejaribu kumpotezea naona nakwama. sasa ameandaa safari ya kikazi mimi na yeye tu, halafu hataki twende na gari, anataka tukwee pipa ili dereva asiende. mimi naogopa maana ni hatari katika kibarua changu, nifanyeje jamani?
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.