Hivi si nilisikia wabunge wana bima ya afya tena special kuliko sisi kina yahe, Je bima nao hawakutoa matibabu? Nadhani kuna jambo linatakiwa kuwekwa sawa hapa
Sio ajabu na wala CHADEMA sio wakwanza kufanya hivyo. Ilifanyika kwa Mwl. Nyerere, N. Mandela, n.k. Sioni kama kuna sababu ya kushangaa jambo kama hilo, na kila watu wana namna yao ya kuratibu misiba yao
Huu ni mchezo wa kuigiza tu. Kama kweli hawa ni wauzaji wa madawa ya kulevya na walikuwa na ushahidi wa kutosha je ile hukumu iliyotolewa ndio adhabu ya wauzaji wa madawa? Huku ni kuchezeana akili na kutafuta kiki zisizokuwa na manufaa
Majungu tuu hayo.
Hiyo ni incetive ambayo ofisi nyingi hutoa kwa wafanyakazi wake inategemea aina ya kazi. Kuna wengine wanatoa bei maalam kwa ajili ya wafanyakazi wao, wengine wanatoa bidhaa halisi. Viwanda vya sukari wanatoa kilo za sukari, taasisi za maji zinatoa units kadhaa za maji, Tanesco...
Mtoa mada unaposema uchumi umekuwa unaangalia nini? Naomba unisaidie kunijibu maswali yfuatayo with data,
Unemployment rate ya Tanzania kwasasa ni ngapi?
Kipato cha Mtanzania kwasasa mi kiasi gani?
Purchasing power ya Watanzania kwasasa ikoje?
Huduma za kijamii zikoje kwasasa?
Kuna wakati huwa nawaza kwanini huwa tunapenda kutoa majibu mepesi kwa maswali magumu? Je ni kwamba hatuna muda wa kufanya utafiti kidogo au huwa hatutaki kusumbua akili zetu
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.