Inabidi wakati mwingine kujiuliza, kwa mfano kwa mtu kama Jerry Silaa, je Lowassa anapiga kura Gongolamboto! Lowasa anapiga kura ilala,lowasa alifanya mitihani ya Electronics&communication,1st doubled na Atec II ,3rd year doubled with certificate in Law. Mdau hapo juu, nenda hata ESAMI kahesabu...
Tatizo nikuwa watu wengi wanadanganyika sana na neno profit, ambalo lina vitu vingi ndani yake, we nenda kaangalie Cash waliyokuwa nayo hao CRDB na sio profit sijui nini, sisi watu wa finance hiyo huwa sio ishu sana, tunataka kujua cashfloe yso ikoje......kwa mdanganyika usije ingizwa mjini...
Afadhali Realtor umeelewa kwanza tatizo la kimahesabu kwamba 40,000 x 12 x15 =7,200,000, ivo kama ni kulipa hilo deni na faida kiduchu, basi itakuwa at least 400,000 x 12 x 15 =72,000,000 kwa mkopo wa mill. 60. Watanzania walio wengi hawawezi kukopeshwa pesa ya kujenga nyumba kwa hapa...
Wewe ndio umeandika, hapa si udini ishu ni kuwa kila kiongozi ukiwa madarakani tegemea watakusema tu, ni mambo ya kawaida...hongera sana kwakuwa mwana JF unayejadili issues kama thinktank
Kamwene ndugu yangu, ki ukweli sijui kama ni mwanamtandao au vipi, hoja yangu nikuwa nimekuwa nikijiuliza sana what does mtandao stand for??? ni wale ambao wapo kwenye kundi la RA, EL au SS mwenyewe, akiiibuka mwingine akawa upande Bakharesa,Mengi, Manji,Mlimilavangi, Superstaa na wengine wengi...
Kaka usijali sana kuwa na mtandao, ukweli ni kuwa labda uingie kwa kupindua kama Kagame, hapo hutakuwa na mtandao, ingawaje hata huko nachelea kusema hakutakuwa na mtandao, .......hili swala ni gumu sana, huna najiuliza tufanyeje bila hivo??mwisho wa siku unagundua huwezi kufanya jambo pekeako...
Paulo mi naonekana junia kwa jina tu, lakini nimeingia JF tangu 2007, wewe je??sema nimembadili jina, nikaamua kutumia jina la nyumbani kabisa, usijali hata hivo ni vijimambo tu hivi, habari hii ni yakweli kabisa.
Hatimaye manispaa ya ilala imepata meya mpya ambaye ni ndugu Jerry Silaa, amewashinda Abuu Juma, aliyekuwa meya na Bisalala Salum, taarifa zaidi baadae
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.