Akili yako fupi sana hujajijua tu umepimaje kura za 2015??kwa watoto kushinda njaa tu basi wangechanga hao wazazi hv inaingia akilini mwanao ashinde njaa we utulie tu eti kisa mbunge amekataza??hao watoto wanakula makwao na sioni km ni kweli wanashinda njaa NINA WASIWASI NA WW AKILI ZAKO FUPI...
Rejao think big bana hata kama zinaenda KDI real ameonyesha mfano cause hata hiyo KDI Hafaidiki nayo yy its Non-profit org zaidi ni kwa ajili ya Wananchi wake upo?
Watanzania ni mda wa kuidai haki mwanzo mwisho LEMA ni shujaaa asiye ogopa aliye tayari kwa lolote mda wowote hivyo watanzania tuunge mkopo jitihada za kuleta mapinduzi ya kweli
CCM Wanatapatapa why waciwe wazi wataje hicho nchi na balozi zake? bt cdhani akilini km inaingia eti kuna Ubalozi unakifadhili chama cha siasa maybe bt wawe wazi MEMBE Aache kukurupuka kujibu maswali Hata JK wakati chama chake kilipokataa midahalo bt cku wameweka mdahalo Mwandishi mmoja...
Jamaa km nimemwelewa ishu ni utangazaji wa sera nyingiiii ambazo hatuoni utekelezaji wake jamaa ni Kiazi kweli Katoka China juzi Anataka Watanzania wajue nae yumo Tatizo la Viongozi wetu hawa ni sera tuuuuuu Hata waliomchagua huko Singida ni Viazi tuuu Singida ni miongon mwa mikoa iliyonyuma...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.