Madaktari wake walikuwepo, including daktari wake binafsi Prof Mchembe. Lakini huyu Prof Mchembe ni surgeon, wakati tatizo kubwa lilikuwa la moyo kwahiyo akaomba consultation kwa bingwa wa moyo Prof Janabi. Matibabu ni teamwork, ndiyo maana madaktari huitana mambo yanapokuwa tete, au wanaandika...
Ngoja niwasaidie elimu ya bure, ambayo tafiti nyingi zinaafiki:
Viashiria vya uume mkubwa (jinsi mtu anavyokuwa na vingi katika viashiria hivi, ndivyo uwezekano wa kuwa na kubwa unavyoongezeka, siyo lazima awe navyo vyote):
Upara kichwani
Ndevu nyingi
Box chin (kidevu yenye shape ya box)
Square...
Kwa kumbukumbu tu, huyo daktari binafsi wa JPM alikanusha kuwa Tanzania hakuna UVIKO-19. Hii aliisema mwanzoni mwa February 2021, bila kujua mwezi unaofuata mambo yangekuwa siyo. Soma hii: Tupuuze uzushi wa Mitandaoni, Tanzania hatuna Corona - Prof. Mchembe
Tiba ya JPM ilihitaji maarifa zaidi ya yale aliyonayo daktari wake (Prof Mchembe) ambaye ni surgeon. Na kwenye mahojiano retired CDF amesema Mchembe alikuwepo. Kiitifaki, kama umewahi kutibiwa hospitali utaelewa kuwa daktari wako anayekutibu ndiye anayefanya consultation kwa wenzake au kuandika...
Nimemshangaa sana anavyohoji uwepo wa Prof Janabi kwenye matibabu ya JPM ambaye tuliambiwa alikufa kwa ugonjwa wa moyo. Alitaka nani awepo?
Angejiongeza kifdogo tu hata kwenye google asome cv za huyo tuliyeambiwa ndiye alikuwa daktari binafsi wa JPM akijulikana kama Prof Mabula Mchembe. Kwenye...
Nakujibu kwa kifupi, na kama una maswali zaidi nakukaribisha uulize.
Ni hivi; career options za mtu aliyeishia form four ni chache kuliko za yule aliyeishia form six na kufaulu.
Kwani upareni kuna nini? Nimepajua Upareni kabla, wakati na baada ya Msuya kuwa Waziri Mkuu na kustaafu. Hakuna cha ajabu chochote alichoongeza Msuya, kunafanana tu na maeneo mengine. Barabara ni za vumbi, zahanati ndio zilezile zilizoko hata vijiji vingine vya mikoa mingine, hakujenga airport...
Mzee Mohamed Said ni miongoni mwa watu wanaotumia vibaya vipaji vyao kueneza chuki. Ni mjuzi sana wa kusimulia jambo kwa ufasaha, tatizo lake kubwa ni kuongeza chumvi, uongo na uchonganishi. Hapa katika suala analosimulia hapa anataja kuwa ni waislamu wameonewa!
Tundu Lisu alipigwa risasi...
Mwambie asipaniki bure akavuruga ndoa kwa shida ndogo kama hiyo. Huyo binti hakutaka kusababisha maswali yasiyo ya lazima ndio maana akadanganya kuwa alienda na bodaboda, na hakutaka kuvuruga amani ndio sababu hakumtaja huyo bestie. Na kwa asilimia kubwa naamini alienda salama na kurudi salama...
Hali ni tofauti sana katika nchi mbili ulizotaja za Urusi na Tanzania. Kuwa mwanajeshi Urusi siyo fursa wala ajira, ni msala! Kwa hapa Tanzania, jeshi ni ajira moja ya uhakika sana, ukiingia unajihakikishia ajira salama, kwa kazi ambayo katika maisha yako yote ya kupanda vyeo na kulipwa vizuri...
Simon Mkirene (Simon of Cyrene) alitokea Libya, siyo Ethiopia.
Wakati wa kusulubiwa kwa Yesu Kristo, Uyahudi ilikuwa koloni la Rome. Libya pia iliwahi kuwa koloni la Rome, na ndio ilivyokuwa uhusiano wa kuwepo movements za watu wa Cyrene, Uyahudi na Rome katika maeneo hayo, hata ikapata kutokea...
Peleka balaa huko kwendraaaaa! Mbaguzi mkubwa uliolaaniwa. Na bado utasugua sana kalio.
Sawa aliyefuga nguruwe watatu na robo eka anajiita milionea, wewe uliyefuga chawa makwapani na kunguni kwenye banda la nyasi unajiita nani vile. Utakufa na wivu wako, wenzio wanaendelea na ujasiriamali...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.