Sukari ni vizuri ukaiweka kwenye maziwa mabichi ukachemsha kwa pamoja hii husaidia kupunguza contamination, na vanilla flavor utaiweka baada ya kupoza maziwa na kabla ya kuweka culture.
Yoghurt ni tofauti na mtindi, hasa wakati wa kuwawezesha bacteria kufanya uwe mtindi au iwe yoghurt, Bacteria wa mtindi wanaweza kuufanya mtindi ukawa mtindi kwa masaa kuanzia 16 katika room temperature, ukichukulia hata kwetu tz room temp ndio hio kuanzia 25c kuendelea. wakati kwa yoghurt...
Mimi sioni tofauti, labda hizo Tv, Halafu vitu kama hivyo huwa muhimu kwa safari ndefu, sasa wewe lisaa limoja unataka uwekewe na tv. Ukitaka kizuri labda utengeneze kwako. Big up Panga boi.
Hivi majuzi nimepima, nikaambiwa nina bacteria kwenye njia ya mkojo..nimepewa dozi ya Azuma..nimemaliza dozi ila hakuna nafuu yoyote, hapa tupo linasumbua..na muda wote najisikia kulala tu!
Hiyo Azuma itakuwa vizuri kama utakunywa kwa siku sita.
Juzi nilinunua maziwa ya Tanga fresh ya pakti.., nilipoyaonja nilishtuka mno..!! Yaani ladha yake ni kama maji ya kisima.., hayana taste kabisaaaa!! Na hakika kwa waliowahi kununua najua mnaelewa ninachosema. Hivi huko kiwandani hakuna watu wanao yaonja kabla ya kuingiza sokoni??! Matokeo...
Yale ni maziwa halisi ya ng'ombe na hamna chochote kinachoongezwa zaidi ya vigezo na masharti ya utengenezaji wa mtindi, Piga mtindi wa tanga fresh kwa afya yako.
mi nina mtizamo tofauti kidogo, siyo kweli kuwa viwanda haviwezi kubadilika kutoka bidhaa hii hadi nyingine mfano tulikuwa tunatumia soda kwa chupa ya glass sasa mambo yamebadilika tunatumia chupa za plastic lakini viwanda ni vile vile, hata hivyo viwanda vya nguo vinaweza kufanyiwa marekebisho...
FUNGO jr, habari hiyo siyo kweli, maziwa ya tanga fresh hayachanganywi na chochote ni maziwa halisi kutoka kwa mama ngombe hayaongezwi chochote iwe kemikali, huchemshwa kuuwa wadudu wenye athari kwa afya yetu, halafu hupatikiwa kwenye pakiti.
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.