We ndio huelewi.. Udini ni Tatatizo kama ukabila.. mimi nimeona kazi zikitolewa (Tender Contracts) kwa sababu mtu ni mwisilamu tu(anvaa kanzu) nimeona hii NSSF na sehemu kama tatu.. favors zimekuwa extended kwa watu kwa sababu tu ni waislamu.. sasa usilikatae hili udini ni tatizo.. kama undugu...
Dogo achana nae Govinda lina weka uchafu .. ukili binjua linakuaga na unga unga.. utakuja kuishia na Cevic Cancer.. halifai.. huwezi kumnyonya, mambo mengine hawezi kufanya.. ya Kumenya it has its beuty
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.