Nina siku nyingi sijalogin JF lakini baada ya kusoma bandiko la Baija nimeguswa na nikaona kuna umuhimu wa kuchangia.
Wakuu, niukweli usio pingika tangu 2010 pamekuwepo juhudi za makusudi ku-recruit vijana wa UVCCM kwenye KITENGO. Mkuu wa mkoa wa dar ni miongoni mwa vijana hao.
Kwa Bahati...
Wewe Mzee vp?
Historia ya kufoji vyeti ndo unataka iwasisimue vijana?! Aibu gani hii!
Makonda anabahati hadi leo wazazi wake wapo hai. Wenzio tulipoteza wazazi hata kabla ya kuanza darasa la kwanza, tulianza kuhudumia familia tulizoachiwa na wazazi kwa Maana ya wadogo zetu tukiwa pado primary...
Kama mtu hajasoma huna haki ya kuzungumzia vyeti katika mrengo wa kubeza Maana ama umuhimu wa vyeti hivyo.
Ninawasiwasi kama hata form four Amefika huyu bwana Mrisho MPOTO
Kuanzia leo, nimekudharau ndg. Paskal Mayalla. Yaani kwa usomi wako na ufuatiliaji wako wa mambo bado unaamini Rais anapaswa kuaminika kwa kila kitu? Kweli?!
Uanaamini kila anayeteuliwa kwenye nafasi yoyote anahakikiwa vyeti? Umesahau uteuzi wa makatibu tawala ambao baada ya kuteuliwa na...
Nikweli mkuu Kuna kitu anaficha huyu pia. Inawezekana alitaka kupitisha mzigo bila kulipia. Yule jamaa ukimuibia elfu moja tu unalipa mamilioni. Huwa hachezewi. Lakini hii haindoi ukweli kuwa Zackaria ni anayetumia utajiri, mtandao na Nguvu zake vibaya.
Tembea mikoani ndo Utajua Kuna watu ni Serikali. Zacharia ni tofauti sana labda JPM mdhibiti.
Yule jamaa ana vijana ukimkosea unapelekwa lockup polisi stend wanakuweka ndani. Ikifika jioni inabidi wampigie ili wajue uandikiwe kosa gani. Akikuhurumia Atasema pumbavu zake muachie aende zake...
Mkuu Naomba unifanyie makadirio ya matumizi yafuatayo ili nijue matumizi yangu yatakuwa kiasi gani makao mapya.
1. Taa 3 energy server wat18 zitawaka masaa 4
2. Taa 4 energy server wat18 zitawaka wastani wa dk 30 kila moja
3. Taa 2 energy server Wat18 zitawaka masaa 12 kwa siku.
4. Fridge...
Ndg yangu Unit 75 ni nyingi mno. Inawezekana hukuwahi kufanya tathimini. Mini ninahakika na hili kabisa. Pamoja na vyombo nilivyotaja hapo juu Nina TV ambayo inatumika tena mda mwingi.
Ahsante sana ndg kwa kuanzisha mada hii japo Kuna upungufu kidogo lakini Ina ukweli mwingi.
Mimi kwa zaidi ya miaka 5 nimekuwa natumia unit 60-65 kwa mwezi. Sikuzote nalipa gharama ya watumiaji wa kati. Kwa mwezi bili yangu Imekuwa elf30.
Nilifanya tathimini ya kina ninatumia unit 2 kwa siku...
Lakini si hizo ndo biashara za ccm? Wewe unadhani hata wale wasanii wa kipindi cha kampeni hupokea chote walicho saini kwenye mkataba?
Hilo lilikuwa dili la watu sema alikosea timing ya kudai.
Ngoja aonje joto ya jiwe. Mlizoea sana kunyonga wananchi sasa Ngoja mnyongane nyinyi kwa nyinyi
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.