Habari ndugu wana jf,
Nimatumaini kuwa tumeamka salama kabisa tuombe Mungu pia atujalie afya njema na kutubariki tuweze kupata mkate wetu wa kila Siku.
Ndugu wana jamvi Mimi natafuta mpharmacia ili tuweze kufanya nae biashara ya duka la dawa za binadamu maana tusio na taaluma tunapaswa...
Habari za jioni wana JF
Kwa heshima na taadhima nimeamua kuwa Mjasiliamali.
Ni kwa kipindi cha miaka 4 sasa nikiwa kwenye ajira ya makampuni,nimekuwa mtumishi mwema kwa kipindi changu chote na wala sijawahi kuwa na kashfa yoyote kwenye ajira yangu.
Kwakuwa napenda kujiajiri kuliko kuajiriwa...
Dr Bernadeta umejaaliwa busara na wanawake wengine wangefuata mfano huo kweli tusingeweza kujutia kodi zetu.Lakini hadi sasa mnamaliza kodi zetu bure hasa wanawake wanaocheka cheka hovyo bila hata kuangalia kinachozungumzwa. Kweli mnatukera mnaotuwakilisha.
Nafurahi sana kuwa wasira anakubaliana na mambo mengi sana kwenye hoja za wachache hivyo naona anakubali kushaurika na kubadilika akishawishiwa. Hongera sana Steven Wasira.
Mi nadhani Jusa atakuja na suala la kusisitiza kuwa hati ya muungano kuwa haipo ndio maana ameamua kumziba kabla hajasema hayo! Mbinu zinasaidia pia katika kutafuta support kwa mawazo binafsi! Tunaona pia pelle alifunga goli kwa mkono na likakubaliwa.
Kwa mujibu wa wasira mi naona maoni yao yanalenga kuwa na serikali moja ili kutoa utanganyika na uzanzibar na kuwa na wazalendo watakao tetea Tanzania. Kwa ufinyu wa mawazo na kuangalia msimamo wa chama mawazo hayo wanayalazimisha kuwa serikali 2. Jamani hebu tutafakari hayo mawazo ya wengi...
Tusubiri tuione na tuone kama hati hiyo itajibu hayo maswali. Lakini pia watujuze nani aliyekuwa akiitunza kwa muda wote huo na kwanini akaifanya kuwa siri yake pamoja na migogoro yote ya muungano.Kwa nini haikutunza masjara husika na kwa nini haikupelekwa UN maana pia tumesikia kwa...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.