jamani kuna mtu ana habari kuhusu hii(fibre optic cable), tulisikia ikianza tutafaidi kupata punguzo la bei kwa watumiaji wa internet. Tukatazamia kuona mwaka huu kuwa namabadiliko makumbwa kwenye mambo ya habari. lakini naona mwaka unaisha na hali ni ileile
Sitta, Chenge watupwa Send to a friend Thursday, 11 November 2010 00:16 0diggsdigg
Mr Samwel Sitta akiwa ameshika kichwa
Habel Chidawali, DodomaKAMATI Kuu ya CCM imewapitisha Anna Abdallah, Anna Makinda na Kate Kamba kuingia katika kinyanganyiro...
Nimesoma Namba 1 na 2 tu
1. Kuwa karibu na wanachi hadi wakuzoee na kukuamini.
2. Ujichanganye na wananchi hadi wakuone ni mwenzao.
Namba moja inaonyesha sikuzote haupo karibu na watu ila unajifanyisha kumbe kunakitu unataka(ubunge), kama kuwalia timing hivi
Namba 2 kumbe kama sio ubunge...
Tatizo sio fedha. Tatizo ni TANESCO inahitaji mabadiliko makubwa ya kimfumo na ya kiutendaji. umeme haugawanjwi bure, tunalipia wanashindwa nini kusambaza umeme. Tanesco imefikia ilipo kutokana na ufisadi, mawazo mgando ya uongozi wake.Hizo fedha watazichakachua hazitafanya...
Naunga mkono ni wazo zuri. ila labda mtoa hoja asingewawekea kiwango. je kama wao watakuwa tayari kutoa 1milion. au je kama kuna wanaojitoa zaidi ya kiasi hiki. nakubali ni wakati muafaka wa chama kuweka mizizi sasa na kuendelea kupata wanachama zaidi
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.