Nakumbuka mke wangu alivokua mjamzito dr alinipanga kuwa nikiulizwa na dr yeyote why alimpasua niseme mtoto alikaa vibaya..nilimquestion akawa anajing'ata tu.
Now mimba ya pili nshafuatilia na kuambiwa atajifungua normal sasa ole wao.
Asa we inakuhusu nini...hela zao afu unawapangia matumizi si itafute zako blaza...huo ndo wivu wa kijinga kama kuona kuku wanapandana unachukua jiwe unawapiga.
Upo sawa kaka....
Watu hawajui ila dhl ina divisions zake 3 hapa nchini kuna dhl express wale wa vifurushi,dhl supply chain wanaofanya warehousing na distribution na dhl global fowarding hawa ndio logistics wanaofanya kazi za clearing and forwarding. Sasa division iliyofungwa ni dhl global...
Upo sawa kaka....
Watu hawajui ila dhl ina divisions zake 3 hapa nchini kuna dhl express wale wa vifurushi,dhl supply chain wanaofanya warehousing na distribution na dhl global fowarding hawa ndio logistics wanaofanya kazi za clearing and forwarding. Sasa division iliyofungwa ni dhl global...
Brother hizo issue za kawaida sana shukuru Mungu kuwa umeona kabla hujamuoa maana Mungu amekuonyesha mapema kuwa huyu sio wako...no need ya kujistress sababu kuna watu kwenye maisha yetu wanakuja kwa ajili ya kutufunza jambo ili lifuatalo tujirekebishe..funzo lako hapa ni usimuamini rafiki au...
Halafu kuna dem wangu wa zamani kaolewa ye ananiba nimgegede kwa sababu jamaa yake hampigi mashine mwezi wa 4 sasa,naogopa coz mke wa mtu noma bora vimeo vingine. Naanza kuelewa circle na wangu anapeleka nje basi ehh
Hivi kwanini wanawake ukishawaoa huwa hawajitumi tena...hata mechi kupewa unapewa kwa machale sana mtu unakata mpaka wiki 3 mwanamke hajakupa papuchi....seriouly mbona wanazingua sana ..acha tupige nje tu.
Nshawaambia pigeni tu ndo solution...mi najuta kutokupiga ingawa nina 33 nna nyumba...gari...mtoto na mke. Lakini naona nipo nyuma sana kimaisha....now nataka nianze business upya coz za nyuma nlikosea investment ila naanza upya niache kazi za kuajiriwa at 38...na nianze ujenzi wa nyumba nyingine.
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.