@all, nimeongea na yule dada frndly, kanieleza mambo mengi, kamwambia akome kunisumbua na me ndo mke wake mtarajiwa, pamoja na hayo kadai anawanawake wengine watatu mitaa tofauti huko wanakoishi, huyu dar now yupo dar, me mwanza, na yule boy kagera, yule dada katoka bukoba ndo karudi dar, na...
Jaman, huyo dada wamefarakana, ila source n mimi, na mimi npo mbali japo mawasiliano yalikuwa active, hata kwa wazazi, ndugu na jamaa, na wametumiana sms za matusi nyingi sana, japo mimi nimepata tarifa toka kwa rafiki yetu,
Msaada jaman nahc kuchanganyikiwa, nimekuwa
na mpnz wangu zaid ya 5yrz mpaka
kutambulishana, ila ndan ya 2yrz nimekuwa
nikmsadia kadl ya uwezo wangu anapokuwa
nashida kipesa, na mengne, binafsi ndan ya hcho
kpnd nikiwa na shida huwa haishiwi sababu,
kilichonichanganya zaid n baada yakupigiwa...
Hilo ndo jibu walilopewa kipindi wapo SEGEREA, wakidai mulizomea MKUU naametoa ANGALIZO hakuna kupewa mzamana.. nakuweka kiwango kikubwa sana cha PESA pale utakapotaka kutoa mzamana........ yale ya BABU SEYA yamefika ktk chuo kikuu cha taifa.. tunaelekea wapi jamaniiiiiiiiiiiiiiii
mkuu hili suala ni toka juzi na watu walishatupia sana humu kwaiyo mimi nilichokifanya nikutoa update ya leo.. wakati tamko la VC lajuzi baada yakugoma na kuzuia UTAWALA alitoa tamko lakuwarudisha wale 35 na kuwasuspend wale 8, vijana walizidi kushinikiza mgomo wakitaka hata wale 8 warudi...
mkuu hili suala ni toka juzi na watu walishatupia sana humu kwaiyo mimi nilichokifanya nikutoa update ya leo.. wakati tamko la VC lajuzi baada yakugoma na kuzuia UTAWALA alitoa tamko lakuwarudisha wale 35 na kuwasuspend wale 8, vijana walizidi kushinikiza mgomo wakitaka hata wale 8 warudi...
sad newz...
utawala wa chuo umefanya maamuz ya kutisha!!!!
1.wanafunz 8 waliokuwa-suspended wamefukuzwa chuo kabisa....
2.wanafunzi 35 wenye kesi mahakamani wamefukuzwa chuo kabisa...
3.wanafunz waliofukuzwa chuo kutodahiliwa chuo chochote cha umma na kunyimwa mkopo maishan mwao mwote...
duh kitu kimetiki jamani wadauuuuuuuuuuu..... nimetumia maujanja mengine Just simple like these... nimehack email kwanza na kuchange email pswd kitu kikatiki... nikaingia facebook ma pcwd fake email correct wakadai forgot pcwd nikakubali wakadai naweza send requst either kupitia email au...
Wife is like a TV, Girlfriend is like a mobile, At home you watch TV , but when you go out u take your mobile. Sometimes you enjoy TV, but most of the time you play with your mobile, TV is free for life, but for the MOBILE if you don't pay, the services will be terminated, TV is big except...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.