Ccm bana. Kuna ile ya ugaid ya rwakatale na mama aliyezalishwa na gwajima sijui zimeishia wapi. . Tatizo Skendo zenu za akili ndogo mnalenga akili kubwa you chicken brain
Wadau za jumapili.
Stability ya umeme Morogoro (sijui huko kwingine) tangu huyu muheshimiwa ajiuzulu imekuwa shida. Swali je hii inaleta picha gani. Ni kweli kuna hujma za makusudi kukata umeme TANESCO ambazo muheshimiwa alipiga pin. Ukweli tulisha sahau kukatika kwa umeme tatizo ambalo...
watu wamenyanyaswa sana bungeni kwa kupinga uwiz huo kipindi hicho. Tatizo ccm mnadharau na maji yakifika shingoni ndo mnakumbuka nchi ni yetu sote. Wakati wa kuingia mikataba mnaneglect hoja ya mtu mwingine yeyote nje ya chama chenu. Chochote kinacho tokea sasa ikiwemo mgawanyiko mmekipanda...
Suruhisho ni katiba mpya. Mfano kile kipengele mbunge akivuliwa uanachama na chama chake abaki na ubunge wake, ingeondoa uoga wa wabunge kuwa na fikra huru. Kwa sasa wabunge wa ccm wameshikiwa akili na chama
Upande mwingine hili zoezi lilikua la kipumbavu. Unataka professor asubmit chet cha form 4 ili iweje ? Na je mtawatafuta wote walio simamiwa naye PhD na masters for disqualification .? Narudia tena hili zoezi halina maana
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.