Umenikumbusha mbali sana mkuu, siku nilipojua kuwa hicho chama kimekufa rasmi walipompoteza salim wakamchagua mtu kwa kufuata ushabiki, na sasa wenye akili wanaelewa na kujuta, naam na bado watajuta sana tu. Coz its too late.
Mkufu jaribu kuwa great thinker na sio cheap thinker. WAMA inafanya vizuri that is good and thank you 4 the gud newz. Swali linakuja je ni nani yupo responsible for th success behind WAMA? Hapa ndio umeshindwa kutudhihirishia, inawezekana ni management team ya WAMA na wala sio hao board of...
Wewe mwerevu hebu tunaomba utuambie ni wapi na lini US waliwalazimisha UN wapeleke hiyo mada barazani na kulazimisha mataifa yote ya umoja huo ya kubali kupitisha no fly zone.
Inaudhi sana. Kiongozi bila aibu unadai kuwa ni haki yako kutibiwa nje ya nchi? Badala ya kutoa wazo la kujenga hospitali ili wote tutibiwe hapa. Alafu kesho utasema hata wewe haujui kwani Tanzania ni masikini, haiendelei na maisha yanazidi kuwa magumu.
Au ndio tutaishia kusema western...
This is both not a point and out of topic but nakujibu ili usijisikie mpweke. Unataka wawachukie makafiri na kuwalipua au? Kwani kuhoji uhalali wa kitu (hijab) hairuhusiwi?
wapi? Achakupiga makelele Nionyeshe. Nielekeze, Toa basi hata ushahidi kuwa walifuata mafuta and not otherwise. Kama huna uchune tu, mi mtu mzima ntaelewa.
Hongera wewe mwenye point mkubwa. Ila sikutaka kujua kama ni pumba au mchele toa ushahidi(evidence) na source yako inayoonyesha USA walifuata mafuta Iraq & Afghanistan. Kwanini isiwe sababu nyingine, Inawezekana walikwenda as military retaliation after 9/11 au kutibua kichaka cha magaidi. Why...
1.Jamani no-fly zone sio uamuzi wa USA bali ni wa umoja wa mataifa (UN). Kwa hiyo watu mnaoilaumu US nadhani hamjalifuatilia nakuliewa vizuri hili suala.
2. Mbona wanaolaumiwa ni wamarekani peke yako katika hili wakati wapo wengi tu wanaotekeleza hili ikiwemo UK, France, Qatar, Jordan (UAE)...
I ask my self the following;
1. Why Ghaddafi wont leave the leadership despite th opposition and protest from his own country men (spare me the crap of libyan's being influenced/drunk by western powers or alqaeda, coz if u ar even a bit smart it jst doesn't sound)
2. It stared with Tunisia an...
Mkubwa ukisoma hii thread utaona nimesema ID zimeanza kugaiwa ghafla last week yaani ni kama kamtego kwakuwa walijua wote tunataka tufanye examz na hivyo walijua tutaangaika tu mpaka tuipate hiyo hela fine, tatizo likawa hiyo process yao ya kuishue ID kama ukilipa ni kero, nenda huku rudi huku...
Kuna watu wavivu wa kuchanganua mambo hadi wanaudhi, sisi hatujagome mitihani bali madai yetu ya msingi ni;
1.Tunataka wanafunzi wote waruhusiwe kufanya mitihani na sio kuwabagua waliomalzia na ambao hawajamalizia
2. Mitihani isigezwe wiki moja mbele kwani watu walishtuliwa ghafla na...
Mgomo bado unaendelea, Mkuu wa chuo kaja kuongea na wanafunzi baada ya kulazimishwa, lakini haja address dai muhimu la wanafunzi ambalo ni kuwaruhusu wanafunzi kufanya mitihani yao hata kama hawajamalizia ada kwani JK alisema hakuna mwanafunzi atakayesimamishwa chuo kwa kukosa ada, na ukimzuia...
sasa
huyu jamaa wa channel
ten anajitetea eti
anasema hajaripoti yy ni
mwingine.
Thatha huyo aliyeleta
habari huko channel ten
kidogo amsababishie
matatizo mwenzake na
kamera na maiki yake.
mwandishi wa
habari wa CHANNEL TEN
ANAFUKUZWA BAADA
kurusha habari ya
UONGO KWENYE T.V yao.
Leo ndio najua kumbe
vyombo vya habari bongo
ni waongo sijui nini halafu
hapa IFM kuna wa ITV na
TBC je watairusha hii?
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.