Hapo bro umesema, RC ni mtu safi na mchapa kazi , mi kila napo kuja singida nakuta mabadiliko , sasa huyu dewj sioni anachofanya , nimewah kununua maji lita 18 kwa 500tsh , sept.12. sasa huyui mbuge kweli? utajiri aliyo nao ameshindwa kumaliza kero ya maji leo miaka.
nyumba hana ipo ya urith...
tishio? awadanganye wengine tunamjua viruri kabla yako, wengine tutajua ccm hawapo 100% rite lakn mambo yame change na mengi wamefanya na still wanaendelea kuendeleza nchi. sasa chadema kila siku lawama yani hakuna zuri la serikali hata 1 mnalosema? zaid ya kukosoa?
nakubali chadema imesaidia...
Hakuna mtu napenda mtu auliwe na ni kosa kuua binadam mwenzako katika dini zote. chadema tafteni njia nyingine kuchua nchi si kila siku maamdamano , watz wengi hatuna kazi inapotokea maandamano wengi tunaenda kwa nia tofauti. serikali ina chenga nchi ninyi kila siku kashfa na chuki zimewatawala...
kama wanayo akili za kutunga sheria basi naamini pia wazo akili za kuishi dodoma, kuna watu wanaishi hata mlo 1 kwa siku hawapati jee uja waona dodoma???
pumpavuu wee , kazi ya wizi usha acha?? Watu wanataka mabadiliko kwa amni wewe unaleta usomalia hapa.. Wewe ndo utakuwa wa kwanza kuhama nchi , kwanza sijui kama utafika hiyo 2015 maana kazi yako ni ya hatari
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.