Acha inferiority complex...... hao wenzako unaowasifia si ndo wametengeneza Boeing 737 Max ambazo hazina standard pamoja na hizo sijui simulation sijui nini na juzi tu zimeua watu. Ajali inasababu nyingi sana tofauti na hizo kashfa zako na umeshaambiwa Kilimanjaro zinatumia body ya Marcopolo kwa...
Hivi we jamaa kwa akili yako Scania 93 au 94 inayobeba hadi tani 8.5 inashindwa vipi kubeba abiria ambao hata tani 4.5 hawafiki na mizigo yao kama tani 3 hadi 4?
Kuna mizani kila kona ili kupima gross weight ambayo ni tani 20, Makampuni ya magari makubwa biashara ya kubwa ni horse/tractor na...
Ukisikiliza vizuri hiyo nyimbo ya huyo dogo utagundua inavoanza kuna ile swag ya Producer neno Haba, which means beat ni ya same producer ambaye ndo huyo huyo wa Darassa
Asante kwa kujibu swali langu, na kama mnalipenda shirika muache ku partner na wauzaji matapeli wa umeme ambao wanawauzia umeme kwa gharama ya juu sana na burden inakuja kwetu, At the end of the day bado TANESCO mna operate kwenye loss.
KWa rasilimali tulizonazo nchini hapa unit moja mlitakiwa...
Kwahili leo TANESCO mmefanya la maana kutoa elimu kama hii hapa Jamii Forums, Kwanini mmetofautisha tariffs kwa mteja mkubwa na mdogo per unit? Wakati unit moja ni hiyo hiyo watts 1000 au KWH 1
We jamaa chai sana, unasema wameipotezea wakati kila kukicha ni kufadhili press conference za kumponda Wema.
Ulikua pangoni kwenye Press ya Steve Nyerere wakati anatema shudu?
Vipi kuhusu hao wasanii wa bongo movie waliotoa press kumponda Wema na kukisafisha Chama?
U must be sick bro.
Atlantis imetoka season 2 na imeisha walianza kutoa episode 6 hadi December 2014 na wakaendelea na the rest episodes April 2015 sahizi walishamaliza season 2 yote na tunasubiri Season 3 Mungu akipenda.
Hapana ni Adventure nzuri sana ya pirates ila ina story nzuri sana kuzidi Black Sails kama...
Pori linahusika unajua...? Halafu kuch kuch ya kwenye farasi si unaona inavyokua inapendeza?
I know unajua jinsi Legend of the Seeker ilivyokua tamu
Atlantis nk.
Check na Crossbones utaipenda kama bado hujaiona
Crossbones (TV Series 2014â ) - IMDb
gfsonwin I guess we have something in common sababu nimecheka balaa mpaka machozi. Sijaelewa mdau anamaanisha nini kuhusu mwanga kwenye vyoo vya shimo.
It can take up to 30 days ukiangalia statement yako utaona kuna credit balance lakini itakua bado uncleared thats y balance haijaongezeka mkuu. Just chill mtu mzima.
1. China - Super League
Beijing Guoan vs Shanghai Shenxin FC
(Home To win)
14:35
Odds 1.10
2. Germany - Bundesliga Play Off
Karlsruher SC Hamburger SV
(Home/Away To win) double chance
20:00
Odds: 1.33
3. Israel - Division 1
Maccabi Tel Aviv vs Maccabi Petah Tikva
( Home To win & over 2.5)...
Nimesoma madhara ya hiyo kitu nimeona yanafanana na Panadol tu mkuu, nimefikia conclution hakuna kitu kinachoingia kinywani pa binadamu kisiwe na madhara.
Je unajua hao hao wazungu waliosema colestral inasababishwa na mafuta yaiotokana na vegetables nikiwa na maana ya nyama nk sababu yanaganda...
Kaka hiyo sheria haiwezi ku implemented Bongo, Believe me.
Wabongo ni watu wa kubwa bwaja tu hakuna vitendo na wala hawana mtambo wowote mkuu..., kama BVR zimewatoa jasho wataweza hii kitu mzee?
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.