Search results

  1. nyquist

    majina ya wasichana

    samaki twiga
  2. nyquist

    Ya Polisi na vyama vya siasa Tanzania

    Ashikari ni imbwa bana
  3. nyquist

    Baba wa taifa wa zanzibar huyu hapa na siyo karume

    Hawa watu wanataka kuibatiza historia ya Tanzania..
  4. nyquist

    Mwl. Nyerere Angeruhusu JK Awe Rais wa Tanzania Mwaka 1995 Hali Ingekuwaje?

    Ni udini tu kwani wewe hulijui hilo?
  5. nyquist

    Uume una simama sana kuanzia saa 10 usiku hadi 12 asubuhi naomba msaada wenu

    Sasa unatafuta sifa au? kwani lazima kila kitu kiandikwe JF, si ungekaa kimya je,ingekuwa haisimami unge raise post hapa?
  6. nyquist

    Mapinduzi ya Zanzibar na Nyerere

    sasa ndugu yangu afghanistan kuna mafuta gani? tatizo umeshakuwa brain washed ili uamini wanavyo taka wao lakini kwa akili iliyo salimika haiwezi kuamini propaganda kama hizi. Ndio maana hata Rais wa venezuela hugo chavez alisema sept 11 iliratibiwa na wamerekani wenyewe ili waweze kunyonya haki...
  7. nyquist

    Jaji M.C. Othman Jaji Mkuu mpya wa Tanzania

    Tatizo mmezoea kupendelewa mbona machifu justice waliopita walikuwa wakristo na waislamu hawakupiga kelele, wewe ndio unanuka udini.
  8. nyquist

    Mapinduzi ya Zanzibar na Nyerere

    sasa ndugu yangu afghanistan kuna mafuta gani? tatizo umeshakuwa brain washed ili uamini wanavyo taka wao lakini ukweli utabakia mpaka siku ya mwisho kwani kwa akili iliyo salimika haiwezi kuamini propaganda kama hizi kwani tunajua fika afghanistan ililkuwa ni nchi ya kiislamu na more than 90%...
  9. nyquist

    Mapinduzi ya Zanzibar na Nyerere

    Tatizo lako hufaamu hasa kiini cha vita ya uganda, wala septemba 11, kama lengo ni kumkamata Osama kwa nini raia wa afaghnistani wasio kuwa na kosa wauawe kwa ajili ya kumtafuta mtu mmoja kwani kuna wahalifu wangapi wakivita duniani hawatafutwi kwa kuuwa raia wa nchi husika kama rais wa...
  10. nyquist

    Rais Kikwete hajatoa salamu X-mass?

    So who cares!, tunachotaka wa TZ sio salamu za krismas wala Iddi wala Uhuru, bali tuna taka tuone maisha bora kwa kila MTZ, huduma nzuri za afya na kijamii mf: umeme,maji safi, elimu bora na mengineyo
  11. nyquist

    Rais Kikwete hajatoa salamu X-mass?

    So who cares!, tunachotaka wa TZ sio salamu za krismas wala Iddi wala Uhuru, bali tuna taka tuone maisha bora kwa kila MTZ, huduma nzuri za afya na kijamii mf: umeme,maji safi, elimu bora na mengineyo
  12. nyquist

    Uteuzi wa Kadhi Mkuu kuthibitishwa na Raisi wa Serikali ya Muungano

    Tupe source ya hizo tafiti tafadhali!
  13. nyquist

    Nipeni Uzoefu wenu!

    Habari zenu wake kwa waume ktk hili jukwaa. Nina mpango wa ku purchase gari aina ya ISUZU wizard,Naomba uzoefu wenu juu ya gari aina hii NB: uzuri wake na matatizo yake, pia mnaweza kunipa alternatives zingine ili niweze kuspend pesa yangu ktk gari muafaka. Angalizo: engine isizidi...
  14. nyquist

    Internet ya bure

    unatumia OS gani? kwani sio kila driver utakayo idownload itafanya kazi kwenye os zote.
Back
Top Bottom