Matokeo ya kidato cha nne hayakua mazuri ila nina B-english,C-kiswahili na C-biology.Niko tayari kwa shule yenye nafasi nzuri yenye kufaulisha wanafunzi wa kidato cha sita na yenye mazingira mazuri ya kusoma.
Ikiwa hapa Dar es Salaam ni vizuri na nipo tayari kwa mchepuo wa ARTS.
Hapana.mi naona hata kama ana vijisent vya kutosha bado si sababu ya mwanaume mwenye mapenzi ya kweli kushindwa kununua chochote jamani mie naona imekaa vibaya
Wakuu naomba msaada kwa wenye ufahamu kuhusu ununuzi na uuzaji wa hisa.Nitashukuru kama mtaniwezesha kujua kampuni ambazo hisa zinanunulika na kuuzika kwa urahisi, kwa muda mfupi na kwa faida nzuri.
Ningependa kufahamu pia ni kwa jinsi gani naweza kufaidika kwa ununuzi wa vipande vya UMOJA FUND
Zantel wamenikera sana na hiyo mambo ya 500o kwa matumizi ya voice.Natafuta pa kuhamia nadhani AIRTEL can be my destination, vip speed yao na coverage?
Nimewahi kufanya biashara ya stationery ni biashara nzuri but what real matters is the location of the busness.
kuuza kwa jumla na rejareja ni nzuri sana.
All the best!
wakati wanakupiga danadana na unashughulikia swala hilo hakuna sababu ya kuendelea kufadhaika!
Banks ziko nyingi that unaweza kuwa na account nyingine ambapo hata mshahara ukiingia unaweza kuuhamisha au kuitumia kuweka akiba zako na kwa maswala megine kama hayo yalokusibu
Thanks Mammamia.I think we are on the same track!
Shost mipangilio ipo tu ila kuna mambo yanataka kidogo usaidizi.
Kuna shughuli kwa mfano kuchota maji ambayo yanatoka siku yoyote bila taarifa hii nayo unaipangilia vipi kama si kutafuta tatizo jingine la kukimbizana na kununua maji achia...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.