watu wengi walishastukia hili dili na ndio maana wengi wao hawakuja. Tangu mwenyekiti wa watz Ndugu mwasha alipoanza kutoa ratiba feki wajanja wakajua JK anakwepa maswali ndio maana anajidai ratiba yake ipo taiti. Na huu ni uongo mtupu, kazi alisubiri tu watu waondoke kesho yake akaende kuchezea...
huu usemi kwa kweli ni tata sana na kila m2 anaweza kutoa jibu lake
nguvu ya ziada-vyombo vya dola
kuchakachua kura
kupunguza idadi ya wapiga kura
mie sijui!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!:smile-big:
tatizo ni kwamba tume ya uchaguzi kila mwaka inaundwa in favour of serikali iliyopo madarakani. inabidi vyama vyote vikae chini vipendekeze muundo wa tume.
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.