Ukweli ni kwamba watu wengi wamekuwa na mitizamo tofauti juu ya wabunge wa CHADEMA kutoka bungeni na kususia hotuba ya Mh.Rais JK,Kwa sababu kila mtu anauhuru wa kutoa maoni yake basi tunasema huo ni uhuru wa democrasia,lakini mimi napingana na wote wanaokosa kujitoa huko, na wale wenye mapenzi...
Siyo wizara tu Kikwete ampishe kwenye kiti kwani hakuna anachokifanya bali anafanyiwa na Lowassa hata kaGPA kake kalikuwa 1.8 sasa naweza kufikiri nini huyu Mkwere aende zake
:whoo:Hivi Kikwete uwezo wake wa kufikiri umefika mwisho au hana anachokifikiria? kama ameshindwa kazi aondoke tu taratibu kwani sasa nchi inaendeshwa na ROSTAM AZIZI, LOWASSA NA FISADI CHENGE sasa yeye anakazi gani atoke ikulu ampishe FISADI ROSTAM AU LOWASSA WATUONGOZE PUMBAFU PUMBAFU WAKUBWA...
Kama kweli hayo ndo maoni ya wasomi wa vyuo vikuu mkoani Dodoma, basi Tanzania haina wasomi kuna watu tu wapo vyuoni wanakua lkn hakuna wanachojifunza,natilishaka uwepo wao katika vyuo hivyo nawapa pole sana.Kwa kifupi hawasitahili kuwepo hapo
yeye ndo mwenye kuleta udini kwani tumeshuhudia dini yake ikiwaambia waumini wake kuwa kuliko kuchagua kafiri bora kula ya zao apigiwe lipumba, sasa huo udini nani anauleta? Hapohapo anamtumia membe kuwaletea watanzani mahakama ya kadhi wakati hilo si swala la kitaifa bali ni swala la dini ya...
:bowl::bowl:Mi kwa mtazamo wangu natoa angalizo hii nchi ni ya watanzania wote na kila mtu anahaki ya kuchaguliwa na kuchagua,kila mtu ananafasi ya kuwa kiongozi na kuongozwa, kwa wenzetu hawa akina EL NA AC na kuwadi wao ROSTAM ifike mahali wananchi tuseme imetosha tena kwa sauti ya ju kabisa...
Hivi vizee mungu angekuwa anavichukua mapema tu vikapumzike milele hakuna wanachokifanya huku duniani,HIKI NI KIZAZI CHA DOT COM wao hawana nafasi bongo zao zinaona mwaka 47 na si 2025:hippie::hippie::hippie::hippie::hippie:
Kusema kweli nimetafakari sana nimeona bila hatua za makusudi za kunusulu maendeleo ya jimbo langu la Kongwa wananchi wataendelea kurudi nyuma wakati maeneo mengine wanasonga mbele kwa kasi ya ajabu, hii kupita bila kupingwa ni dhana ya umasikini wa mawazo na ndo inalemaza maendeleo.NAOMBA...
watu wengi wamekuwa hawamwelewi MH.ZITTO Z.KABWE,lakini naomba mjue kuwa mh. anaona mbali sana,tena sana kwa taarifa yenu tu Zitto ameshavuka 2010-2015 sasa anaangalia 2015-2020 hiyo ndo vision yake,nini kitafanyika 2020-0225,lakini watu wanaotiizama mambo ya leo watamwona MH.ZITTO kama...
Huyu mama hajolewa hivyo basi akijikia kuwa na mwanaume ndo hapo anapokuwa mkali kweli kwa sababu usiku habembelezwi, we fanya utafiti wale walioolewa na wale wasioolewa kauli zao, nyie acheni nyege mbaya sana hata kushikwa tu hashikwi, huyu anamfaa kingunge lakini si DR (PHD)
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.