Dah hawa wanaojiita mitume na manabii ni matapeli sana. Ref to Mathew 24 ....hizi ni dalili za mwisho wa dunia....bible inasema "watu wangu wanaangamia kwa kukosa maarifa "
Nasi tungekuwa tunajipa muda wa kusoma maandiko hakika watu kama Frank wasingewatapeli . Mama yangu mdogo alitozwa Laki...
Hakika wafu wanazikana wenyewe... TL ni mwanasiasa mnafiki sana, mwenye ndimi mbili za unafiki, asiye na haya wala soni na asiyejielewa pia na ndio maana kila siku anaongea sana na kujipinga mwenyewe.
Umeandika udaku ambao ulikuwa unauwaza wakati unakata gogo toilet...
Unaandika uongo, uzandiki Na unafiki kwa makusudi ili Waziri aje kukanusha? Poor you ... Weka ushahidi wa ndoto zako hizo unazoota
Salaam wanajamvi, nimekuwa nikijiuliza sana sababu za Mpoki Mujuni tajiri la kihaya wa ze comedy kwanini hakuhudhuria harusi ya swahiba wake Masanja na sijapata majibu yoyote.
Katika harusi hiyo walihidhuria member wote wa ze comedy wakiongozwa na meneja wao Sekione Davidson lakini cha...
Acha kusema dini nyingine wewe kwa kutetea dini yako. CUF mbona wanafanyia vikao misikitini Na siasa zao zote ni misikitini Na Julius Mtatiro anaachwa nje
Mkuu *Pasco mbali Na kuvaa sare za chama kanisani kuwa haikubaliki lakini je? Umewahi kuwaona CHADEMA wakiwa MSIKITINI? au CUF wakiwa KANISANI?
HIvi vyama vina harufu mbaya ya udini huku Chadema wakiongeza harufu ya Ukabila + ukanda.
Wajitafakari upya
Yes mkuu ni ukweli ambao unapingwa sana. Mtatiro ameshaweka pesa kibindoni za mamvi hata unapoona Mtatiro anatumia nguvu sana kumpinga Prof Lipumba ujue ni kazi maalum aliyopigwa Na Chadema pamoja Na mamvi.
Tatizo la mtatiro huyu jamaa ni njaa inamtesa Sana Na kumfanya kuwa mropokaji , kujifanya anajua kila kitu. Safari hii Mzee Lipumba atakigawa icho chama chao.
Lakini kumbukeni kuwa Mtatiro amepewa pesa Na Lowasaa ili kuhakikisha Prof Lipumba harudi. Mtatiro anatumiwa Na Chadema Na. Lowasa
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.