Search results

  1. K

    Vigogo CCM 'wahamia' Marekani

    Acha watangetange hour has come, no more ujinga ujinga to tzanians
  2. K

    UDOM: Tulivyokula maisha kuukaribisha mwaka 2012, wenye wivu mtachonga sana

    Mwali are you married ningependa uwe mwali wangu
  3. K

    Bibi Alipotimiza miaka Mia

    Yote poa
  4. K

    Meseji kutoka muhimbili

    Sinag Man hujui ulisemalo maana ungepitia hapo ungejua nini kilikuwa kinaongelewa na watoto wale.
  5. K

    Kikwete aipasua zaidi CCM kwa upendeleo wa tuzo

    Mzee Ruksa kiatu miaka 15 iliyopita kama sikumbuki vibaya wakati anaaga ndicho alivaa serikali hampa kingine Mkapa inaonyesha Mama anavyojali JK cha juzi mwarabu kaleta
  6. K

    Kikwete aipasua zaidi CCM kwa upendeleo wa tuzo

    Fisadi No. 1 - Mkapa kauza nchi yetu tulikuwa tunagopa Fisadi No. 2- JK anashindwa na alishindwa kutekeleza ahadi zake.
  7. K

    Chadema Moshi mjini (MH.Ndesamburo)

    All in all Ndesa kafanya mengi Moshi asiyependa anywe sumu big Masai.
  8. K

    Juhudi za kuwatetea Ngeleja na Malima KUHUSU UADILIFU WAO

    Wale sio rahisi kuachia ngazi labda JK ajiajibishe otherwise tulie tu.
  9. K

    mavazii mengine banaaa

    Huyo ananifaa sana wapi yupo?:ballchain:
  10. K

    Kumbe Helicopter ya CUF huko Igunga, imetolewa na CCM!

    CCM Bwana CUF Mke ulitegemea nini?
  11. K

    Elections 2010 Updates Kutoka Jikoni Igunga, saa 5 Usiku

    JK Mwenyewe kafulia nataka leo aende huko kufunga kampeni, kama haendi ni ishara tosha kwamba tayari wamepoteza
  12. K

    Nimepata habari usiku huu saa 3 ya kwamba Salum Kabunda "Ninja" hatinaye tena...........

    R.I.P NINJA WANGU. Gulagwa anakukumbuka zaidi R.I.P
  13. K

    CCM - kwa nini mnataka kushinda kwa nguvu tu huku mmepoteza umaarufu nchini?

    CCM ni sawa na mwanamke ndani ya ndoa
  14. K

    Kwa nini nasema CCM itashinda Igunga

    Mwaigwe ww haupo igunga, kama umeoa kalale na mkeo wanaigunga tuachie wenyewe
  15. K

    We are doomed because We Trust Politicians

    nngu007 is it swahili or english, plse it seems y're trying english
  16. K

    Duka la bastola na bunduki Upanga

    Tatizo la wanaccm hawajiamini kwani hawapati nyadhifa zao kihalali
  17. K

    Tafakuri juu ya picha ya Habari Leo na hatma ya Ikulu yetu

    Ikulu si safi tena inanuka uvundo, hivyo kila mtu anaweza kuingia kama unakwenda ferry vile.
  18. K

    Hii ni aibu Marine Hassan!

    Tatizo si lugha bali alikuwa anatunga swali la kuuliza kwa kiswahili hali atafusiri kwa kiswahili, yaani tafusiri sisisi
  19. K

    Elections 2010 Vibweka vya Uchaguzi Igunga: Mabasi kukamatwa, masanduku kwa DC na mengineyo..

    Acha nicheke niboreshe afya, kwani taarifa za kipolisi zinasemaje mpaka uhuni radio itangaze hayo kama yana ukweli ndani yake
Back
Top Bottom