kama hujawahi, jaribu kukaa na rafiki yako ambae ni mzoefu ktk mambo hayo, usione aibu kumweleza, atakupa mbinu kamilifu. Ukifanikisha, pls play safe! I mean use condom,
leo kwakweli nimefurahi sana kukuta topic kama hii, maana jamvi hili limetawaliwa na habari nyingi za siasa tu!!. Jamani kwa wote wenye ujuzi zaidi endeleni kuelimisha. Special thanks kwenu.
jamani tuna kazi kwelikweli! Kwanza kama huna cheti cha NIT sahau kuhusu class c. Hivi vile vyuo binafsi vina maana gani kuwepo wakati mtu unasoma pale na kupata cheti, lakini bado ukiwapelekea wanakwambia kasome nit?
mi nachukua point ya wanandoa kuelewana, pia kumuweka mungu mbele. Ndugu yangu, cha muhimu, phd na swala la ndo ni tofauti, haijalishi hajasoma kabisa, ila awe na upendo wa kweli, heshima, busara, na mwenye kuthamini utu!
oooh! Sweetdada! Pole! Hatuji kilichotokea upande wa pili, lakini kiukweli hali kama hiyo inaumiza sana, na unaweza kuhisi kama huna thamani yoyo hapa duniani, napenda kukuhakikishia kua, una bahati, na bahati yako iko njiani inakuja! Kuna watu hawajui thamani ya penzi, wala usisumbuke nao...
hata huku Mwanza kautaratibu ni hako wa kuu! Hata kama unao huo mtungi, basi kama huna sticker trafic akikushika unalipishwa faini ya elfu 20, 000 . Jamani tutapona kweli? Mbona hawa jamaa hawana mtu?
pole kwa woote mliopoteza ndg na jamaa ktk janga la mabomu!! mungu awatie nguvu pia uvumilivu. tumwombe mwenyezi mungu awalehemu ndugu zetu waliotangulia mbele ya haki!. Amen
baba bila cash, huna jipya! Mi nauuguza maumivu hiv jana 2 nimeambiwa bila fedha nikafie mbali!! mapenzi yalikuwa enzi hizooo! Dunia ya sasa, huna mkwanja utaishia kunawa baba!!!
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.