Dada Mtema, nawaomba ninyi wabunge makini mliuze hili katika kikao kijacho cha Bunge. Mtuwezeshe tujue ni kiasi gani makampuni ya madini na simu yamezalisha (mara nyingi mahesabu ya kweli yanapatikana kwenye vikao vya wanahisa ambavyo sio vya siri) ili ieleweke kama wanalipa kodi halali au la...
Congrats brother Sanctus. I remember you those days a serious A-level guy who commanded much respect from us O-levels at a certain school in the coast region! I will still look up on you brother as you conquer the global with your hardwork and dedication. Congratulations.
Mnyonge mnyongeni lakini haki yake mpeni... Bwana Makamba ametoa maoni ya msingi sana. Tusubiri tuone matokeo ya huo mkutano. Hadi hapo alipofikia, nampa big up!!
Mimi naanza ibada rasmi ya kuwaombea wote wanaohusika kwa makusudi kuidhulumu nchi yetu na watu wake ili waanze kupoteza matumizi ya viungo vyao muhimu katika miili yao. Siombi wafe, la naomba wapoteze nguvu za viungo kama miguu, mikono ili wawepo kushuhudia Mungu akiirejesha nchi mikononi...
Wanajamii hivi chama cha wanasheria cha Tanganyika hakiwezi kutusaidia Watanzania. Nimeshawahi kusikia hukumu nyingi ambazo ushahidi ni obvious lakini bado mtuhumiwa akakata rufaa na akashinda. Je ni kweli hakuna uwezekano wa kushinda? Au ndio yale ya wikileaks- kwamba upo mkono mzito juu ya...
Hii thread kwa kweli nimeipenda. Mimi nimejiunga November tu na baada ya muda kidogo nilianza kupata hofu kuwa hapa sipo nilipota kuwa. Baada ya kuona wachangiaji wakitoa maneno ya kashfa kwa makabila mbalimbali hasa wamasai (kuna mtu aliwaponda sana kuwa ni wajinga). Nafarijika sasa kuwa hapa...
Wakuu mkitaka kupima amani ya watanzania angalieni wanayofanyiwa watu wanaotuhumiwa kuwa vibaka. Nina hakika jinsi watu wanavyopiga na hata kuwachoma moto watuhumiwa ni namna ya kuonyesha jinsi wasivyo na amani. Wapo wengi tu ambao wana uawa bila hata kosa. Nakubali kuwa kinachotusumbua...
Davis kutoka Uganda ameshinda TPF 4 baada ya kumshinda Mtanzania Peter Msechu. Msechu anakuwa mshindi wa pili - Nampongeza na kumtakia heri. Davis anashinda shs milioni tano za Kenya!
Wana JF, ni vema tukawa makini katika kutoa maoni yetu. Suala la udini linaonekana kupewa nafasi hata mahali ambapo halina sababu. Sasa siku tutakapokumbana nalo kimaukweliii itakuwa ngumu kubaini (ni kweli au uzushi tu). Tuwe makini kwani imani ni ya binafsi, mtu akishaamini kuwa mtu mwingine...
Kuna shule fulani ya sekondari sitaki kuitaja, mtu akitaka kuingia ****** inabidi aache shati nje ili asije akatoka na harufu mbaya, naamini inabidi Mh. Pinda ashauriwe aache shati nje ya CCM la sivyo atanuka
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.