Kweli watanzania tunasikitisha, tangu lini tunachaguana katika nyadhifa au kupeana ajira kwa kutumia kigezo cha udini? kigezo kinachotumika ni elimu na uwezo; tukubali tu waislamu wengi hatukusoma mapema ndio maana utawala wa nyerere ukawa na wakristo wengi. Sasa cha kufanya sio kuchoma...
Unakuwaje na uhakika kuwa Rostam alikuwa RSA wakati passport yake haionyeshi stamp ya kuingia wala kutoka Republic of South Africa? Labda unaweza kutuelimisha katika hili maana unaonekana unajua mambo mengi, inawezekana watu wanaopitia VIP lounges hawafuati utaratibu tunaofuata sisi walalahoi...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.