Acha upotoshaji!
Bei ya mafuta ina akisi bei ya soko la dunia yaani platts , Ewura anaweka kodi nk wao kama wadhibiti tu wa bei ya ndani otherwise Ewura hawana mamlaka ya kucheza na bei ni mpk Wizara iseme ondoa kodi flan nk
Soma Sheria ya Kazi.
Cheki code of conduct
Angalia company policy
Weka kosa mizani then km halina mantiki muandikie warning letter tu coz akienda mbele badae utalumiwa wewe tena kwa nn hukuishauri management vizuri.
Hata kama tuna dhambi tusiache kumuomba Mungu heri na amani ya moyo na afya ya akili! Mashindano kwy maisha ni mengi sana,depression inabeba kijiji siku hizi achilia mbali mambo ya mapenzi.
Dont expect anything from anyone na usijilinganishe na mtu yeyote kimaendeleo wala usione umechelewa kila...
Waaambie bank huna kazi kwa hivyp wastopishe kucharge riba kwy marejesho na riba kuu pia,ili uje badae ulipe principal. Haya mambo yanazungumzika vizuri na hao jamaa.Nyumba haiwezi kuuzwa kwa kua haikua dhamana ya mkopo hilo lipo wazi unless km uliiitoa kama amana ya mkopo hapo wanaweza kuiuza...
Ramadhani Dau kaacha maumivu mengi sana,kigamboni lazima ulipie ndio upite! Ofcouse na yeye anaishi huku lkn huyu mtu alistahili awe jela saivi,amechezea sana hela za waajiriwa.
Watu wakisema hali ni mbaya serikali na wazee wa V8 muelewe!
Ukombozi na uhuru kichumi hautoletwa ni serikali wala mbunge nk bali wewe mwenyewe kwa jitahada zako.
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.