Pole sana ila inaonekana hujifunzi, baada ya kuibiwa mzigo wa lak nane na mil moja ungejua type ya watu unaowaamini. Bora ufanye kazi na watu baki,mnaandikishiana so hata maswala ya kudaiana kisheria hayatakuumiza kwanza watu baki wengi ni waaminifu. Mi mzee wangu alienda kusoma nje enzi hizo...
Pole sana... Inamaana mama na baba yako waliona wakati familia zote mbili zina historia hiyo au hawakujua? Binafsi sina cha kusaidia naona unavyomtesa mama yangu na kwakuwa hakuna dawa basi tukazane na sala hakuna linaloshindikana kwa Mungu.
Mimba haipimwi kwa x ray bwana mkojo tu unatosha na ultrasound atafanya but later sana.
Anaweza kuwa mjamzito na usifananishe na mimba ya kwanza kwani mimba zinatofautiana
Just be urself wewe huna tatizo bali wao na Mungu anakuepushia mengi mshukuru kwa hilo na umuombe akupe unaefanana naye.
Kuhusu tabia, acha kuwa a mother to them they already have one wewe kuwa girlfriend inatosha. Ninavyohisi mimi upo very predictable kwahiyo unaboa. Mimi nimeshakutana na...
Kama haupo bright ni ngumu na ili uwe Mjesuit kamili lazima uwe na masters na uwe padre bila ya hayo ni ngumu lakini kama upo Dar nenda Mabibo pale Loyola sio geti la shule bali lile lingine ndo nyumba yao
Mianaume ya Bongo bwana hovyooo...hii inaashiria wewe haupo romantiki na unamuingia mwenzio bila kumuandaa ..nnauhakika mkeo hafurahii tendo na siku akichepuka kwa mtu ajuaye ataomba talaka
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.