Search results

  1. U

    Habari Picha: Sendeka ateta neno na Mtoto Wa Mkulima Kuhusu Muhongo

    humour: Sendeka ateta neno na mtoto wa mkulima kuhusu dalali
  2. U

    Habari Picha: Waziri Huyu Aombewa ili Pepo La Uongo Lishindwe

    “We Hang The Petty Thieves And Appoint The Great Ones To Public Office.”
  3. U

    Habari picha: Mbowe alichoteta na pinda na lukuvi kuhusu mapendekezo ya bunge kuhusu tegeta escrow

    MBOWE ALIVYOONGEA NA MTOTO WA MKULIMA NA LUKUVI KUHUSU ESCROW KULE MJENGONI “Every joke,” George Orwell wrote “is a tiny revolution.” That’s because what makes something funny is that it upsets the established order. The more subversive the joke—the more it says what people secretly feel but...
  4. U

    Kinachoendelea sasa hivi ni technical media blackout

    Wajameni kitu gani kinaendelea bungeni kwa sasa! Wabunge wenye twitter accounts tafadhali tujuzeni kwa maana huku nje hatupati habari yeyote ya humo mjengoni. Je hili linaweza kuwa limepagwa haraka haraka ili kuzuia watz wasijue kinachoendelea kuhusu hitimisho la Escrow. Kwani sasa Professor...
  5. U

    Hali ni Tete, Mabomu Yameanza Kurushwa Tena Jijini Arusha

    Hali ya usalama katika jiji la Arusha bado ni ya kutisha, inasadikiwa watu wawili jioni hii wameuwawa kwa kupigwa risasi na polisi. Polisi wanapiga raia bila huruma kama vile hawa si watanzania, katika jengo la NHC lilopo eneo la Florida Roundabout polisi wameingia ndani ya jengo na kuanza...
  6. U

    ITV yaanika kila kitu na ushahidi wa kutosha kuhusu mauaji ya mwandishi huko Iringa

    Ndugu watanzania mapak lini tutanyanyaswa namna hii na utawala wa kidhalimu wa CCM. Je watanzania tumekosa thamani kiasi hichi, angalia RPC wa Iringa anavyohusika moja kwa moja katika mauaji haya ya Iringa. Hiki ni kisa cha kawaida kwa polisi wa Tanzania katika ukiukaji wa haki za binadamu...
  7. U

    Katiba Mpya: Serekali za Majimbo Ziwepo, Zanzibar Tuachane Nayo- Tubaki na Tanganyika Yetu

    Katika Mchakato wa katiba mpya mimi moja kwa moja naunga mkono uwepo wa serikali za majimbo. Tunaweza kugawanya Tanganyika katika majimbo matano au sita ya kiuchumi, na jamaa wa visiwani hatuwahitaji, lakini kama watatungangania basi wakubali kutokuwa nchi bali kuwa eneo la Federal Government na...
  8. U

    Kikwete Anatakiwa Kujiuzulu Kupisha Uchaguzi Mkuu/ Waziri Mkuu Pia Kujiuzulu?

    Habari za ukakika kesho zinasema Raisi Kikwete kesho 21/4/2012, mjini Dodoma kupunguza mukari wa Wabunge wa CCM katika kuungana na Chadema ili kupiga kura ya kutokuwa na imani na Waziri Mkuu. Kwenye habari za awali zinaelezea mawaziri nane wanaotakiwa kujiuzulu, lakini pia kuna habari za...
  9. U

    Nape Hujui hali Ngumu ya Vijana, Nyamaza Basi

    Nape akiongea na waandishi wa habari kuhusu itikadi za CCJ Moja, sikufahamu kumbe NAPE alikuwa Msemaji wa CCJ. Hii ni tabia ya kukimbilia madaraka na ajira ya huhakika wala si kwa kuwa anachukia anayo mapenzi ya nchi yake..Ukimwona mtu mwenye tamaa hizi za madaraka muogope sana, alipopewa V8...
  10. U

    Sala ya kumuombea kikwete

    Ndugu zangu watanzania, hali inazidi kuwa tete, maisha yetu yamejeuka usanii mtupu. Kila kukicha ya jana nafuu, yakesho ndiyo itakuwa mbaya zaidi. Mkwere kazi kucheka tu,maisha yetu kwake ni kama mchezo fulani wa kuigiza. Je tunaweza kuwa na sala ya kitaifa ya kuomba uongozi wa nchi ubadilike...
  11. U

    Rising Dictactor in Africa: Jakaya Mrisho Kikwete

    Watanzania imefika wakati kusema sasa inatosha, Kikwete siyo rais wetu, miaka mitano inayokuja ni mateso –mateso-mateso, huyu mtu akubali kashindwa nchi, hakuna analofanya watanzania. Lipi jema kafanya.. Huyu ni dikteta wala hilo halina ubishi wowote. Watanzania tutanyanyaswa na kupigwa, polisi...
  12. U

    Dedication Song for Our Fallen Heroes in Arusha...We will always remember them

    This song is dedication for our fallen heroes, true freedom fighters. Kesho tutawapa salamu za mwisho, tunasikitika kwa vifo vyao, lakini tunawashukuru kwa ushujaa wao. Walisimama kudai haki, hawakusita..they are true heroes…true freedom fighters..Wametupa ujasiri.. Daima tutawakumbuka...
  13. U

    Saddest Day of Democracy in Tanzania

    Today is Saddest Day of Democracy in Tanzania, Je inamaana gani nchi yetu kuendelea kupelekwa kibabe na watu wachache ambao hawaeshimu chaguo la wananchi? Kwa kutaka waendelee kubaki kwenye madaraka na kuchukua utajiri wa nchi kwa ajili ya familia zao, Kikwete yapi mema umewafanyia watanzania...
Back
Top Bottom