These are happening only in Tanzania, na hii ni ishara kuwa Watanzania bado hatujitambui kisiasa. Mbona wanatuongezea gharama kwa chaguzi za marudio rudio?
Kuna taarifa ya kuwa kuna idadi kubwa ya vijana waliodahiliwa UDSM na wamepewa barua za admission baada ya kukamilisha taratibu zote ikiwa ni pamoja na kulipa STUDENTS DIRECT COSTS lakini cha ajabu jana wanaambiwa warudi majumbani kwao kwa vile walidahiliwa kwa makosa eti hawakuwa na sifa za...
Mkuu mbona unatoa kauli za kama vile Lissu is no longer with us. Lissu yuko hai na imani yangu akitoka huko atakuwa bombastic mara kumi zaidi ya awali.
Wewe umerogwa siyo bure aisee! Na kama ndivyo hivyo, basi hayo yatatokea baada ya kuganyika kwa Vyura FC na kumfukuza Lwandamina:mad::mad::cool::cool::eek:
Kwa hiyo na wewe unaunga mkono kunyimwa haki yako ya msingi ya kupata habari za bunge live? Badi kama ndy hivo Watz tutakuwa tumerogwa si bure hata kidogo
Daaah aisee na wewe ni jipu liloiva lahitaji kutumbuliwa bila ganzi atii! Mbona huulizi kwa nini ccm wanataka uchaguzi urudiwe ili hali ule ulo pita ulikuwa shwari kabisa?
Kama mtu anadiriki hata kukaidi amri halali ya BOSS wake tena RAIS basi hapo kuna jambo lililo wapeleka huko ughaibuni - wapaswa kuchunguzwa kwa kina hao ili kubaini lengo la hiyo safari. Ni lazima kuna jambo kubwa walienda fanya huko nje!
Andiko lako ni zuri ila ulichokosea ni kutosema chochote juu ya sababu au kilichofanya huo uhuni, upumbavu na ulofa uliofanywa na wabunge wa UKAWA kwa siku hizi mbilivza bunge la 11. Siku nyingine nakushauri ukitaka kutoa uchambuzi wenye weledi basi angalia sana sababu ya yaliyotokea badala ya...
Ni kweli nilivyo soma heading nikajua tayari serikali imeshapeleka hela kwa wanetu kumbe ni porojo tupu. Sasa vijana wakianza kuandamana tutasingizia upinzani ndy wanao wahamasisha wagome na waandamane. Ushauri wangu ni bora hazina waseme ukweli kama hela ipo au haipo na kama ipo ni lini hao...
Mkuu uko sahihi kabisa ila naomba nikuulize kaswali kamoja tuu. Jee bila kuorodhesha hizo ahadi za Kikwete tungejuaje kama amefeli au amefaulu na tena kwa kiasi gani?
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.