Lakini je Lowasa hana hizo milioni 60?
maana kwa standards za kiafrica jamaa pesa anazo na najua credit rating yake sio mbaya kupata mikopo
labda kuna jingine tusilolijua
sasa mbona hakiuna maelezo zaidi ya vifo hivi? Jer ubalozi wetu Washingtopn wanatoa msaada gani kwa ndugu na jamaa wa marehemu au ndio kimya kam kawaida yao?
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.