-The piece of information is not financially impressive-it is indeed a killing factor to the well established financial centers elsewhere but not in Tanzania. However, let them spell the beans for affirmative actions to be taken.
-I plead the government to take reversal measures to ensure...
Ni kweli mifuko inaushindani lakini kwa swala ya kuteteleka kwa PSPF imenukuliwa kutoka kwa Kaimu Mkurungenzi Mkuu wa PSPF Bwn. Adam. Je yeye ni mpizani wa mfuko wake mwenyewe?
Swala la pili ambalo watanzania na wafanyakazi wa serikali lazima walijue ni athari za Circular ya mwaka 2011 kuhusu...
Je hati ya viwanja namba 100 na 101 pale block 22 kibada vimefutwa (revoked)? kama ni kweli watu wenye viwanja wasiowafanyakazi wa wizara ya Ardhi haki zao zinakuwaje? Kwanini hati za baadhi ya wafanyakazi wenu wenye viwanja block 22 vimefutwa na kupewa vingine? na nani kawajibishwa kwa kufanya...
The questions might be good but they are unbalanced ones... Did author ever seen other key contracts entered between Tanzania and the west? Technically, there is an issue of transparency that needs to be addressed regardless of blocks.
We don't care about the origin of the investor, what...
Swala ili ni nyeti sana kuliko unavyodhani... i guess watakufuata kutokana na ulivyojipambanua kwenye andiko lako! anyway watakuachia ukiwatajia jina la ofisa!
Kufanya uchunguzi tanzania ni simple sana.... kila mtu ni mchunguzi... mimi naona na wewe wachunguzi wakuhoji uwape jina la afisa usalama aliyekutonya na shughuli zima itakuwa imefika mwisho!
It is now time for the counterpart to prove beyond reasonable doubt on how he was involved! If it is not part of a dirty politics it is time to reveal the facts on allegations. The door is opened by the alleged!
Ni pm.. tuanze mchakato. It is so sad to see our hard earned monies invested in acquisition of plots are laying idle because of irresponsible watumishi! Kweli pesa yaweza kukufanya kipofu!
Prof. Kwanza ni ungane na wengine kukupongeza kwa mafanikio yako lakini kwangu mimi mafanikio ni pamoja na kuweza kuupatia ufumbuzi mgogoro wa Ardhi pale Block 22, Kibada ambao umesabishwa na wizara yako.
Kwa faida ya washiriki block 22 , kibada lipo katika mradi wa viwanja elfu ishirini...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.