Wakenya huwa wanabebana mno, Me mwaka huu nimeacha kufatilia coz itaniumiza moyo tu, Si mnakumbuka walivyo mbebabeba Ng'ang'a LiTo last year, Kweli watz watu wa kuchakachuliwa kwenye kila secta
Michezo michafu, Kampeni za matusi na uzushi zilifanywa na vyama vyote vilivyo simamisha wagombea sehem mbalimbali.... Kuzidiana viwango vya hiyo michezo michafu kulitokana na nguvu ya chama, na nguvu ya Pesa kwa wagombea binafsi.......!
According to Carl Max He said dat alwayz Class Struggle iz da one which brought changes to da society.... Bila roho za wapenda mabadiliko kututoka hawa Jamaa (CCM), Hawata acha aka kamchezo..Inauma Sana wana JF...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.