Nazani Kama Hatuna macho ya kuona au kama Hatuna masikio ya kusikia, Basi Tutazame Historia, Tuone Historia inatukumbusha nini?
Daima Tukiangalia Historia tutaona kwamba UDHALIMU au NGUVU au UBABE au UONEVU dhidi ya Jamii inayokandamizwa huwa ina mwisho. Tuliona Hitler, Musolin, Poland na...
Nazani Busara na Hekima inatakiwa itumike kutoka kwa Serikali na CCM kwa ajili ya matukio yaliyotokea huko Arusha, na hata sehemu nyingine kama yatakuja kutokea.
Nazani si NGUVU, UCHAMA, USHABIKI, UWONGO, CHUKI, FITINA zisipate nafasi kutumika hapo kwenye matukio kama hayo kutoka kwa Serikali...
Mhariri wa Gazeti la Habari Leo Umepata aibu ya Mwaka, Unatakiwa wewe mwenyewe Ujiuzulu au SERIKALI ikuondoe hapo ulipo.
Ulishabikia sana Kanisa Katoliki pale ambapo lilipoonyesha Msimamo wake wa KUTOFURAHISHWA na baadhi ya wagombea uongozi wa CCM walipotumia vibaya IMANI YA KIKRISTO au MANENO...
Da Bookschool, unataka kuuza nchi?, sasa tutaenda wapi ndugu yangu?, Kwa nini Husikomae tu kama wenzako, we vumilia tu machungu yote (Umeme Juu, Nauli za daladala kupanda, maji juu, mafuta juu, vyakula bei juu).
Bora JIPANGE kuwauza MAFISADI wotee, NCHI YETU TUACHIE.
Jipange kuwaondoa Mafisadi...
Hivi kama ni Kweli, huyi Mh rais na hao waarabu wana lengo gabi na Tanzania yetu?,....kweli KATIBA MPYA inahitajika hapa. Hata waibanie itakuja tu, MUNGU yu nasi Watanzania tusikate tamaa na hawa watu wachache ambao wapende wasipende watakuwepo lakini pia mwisho ut
(Nani ametoa shutuma hizi? au wewe ndiye uliyezitoa. Tupe chanzo cha habari hii pls!)
Source: Ni watu wenye kufuatilia siasa, watu wenye Uchungu wa nchii, watu mtaani na wengine CCM.....Ndio maana nimeuliza ndugu yangu @ Chibidu kuwa hizi ni kweli au ni UZUSHI tu?, kuna Ukweli wowote hapo?
Inasemekana Tido Mhando katolewa/ kafukuzwa TBC kisa Kussuport CHADEMA kwa njia ya nyuma kipindi cha Uchaguzi. Baadhi ya Viongozi wa Juu wa CCM wanasema Tido Muhando AMECHANGIA Chama chao Kushindwa vibaya kwenye Uchaguzi na pia Tido Mhando amechangia CHADEMA kupata Nguvu ndani ya wananchi.
Kwa...
Siwezi kushangaa kusikia CHOMBO cha habari kama Habari Leo kuweza kutoa habari ambazo zina mlengo wa kuwachanganya wananchi na kuweka sumu ya chuki kati ya Imani moja kwenda Imani nyingine na Imani moja na Chama cha siasa chingine.
Hao watakuwa ni moja wapo ya vyombo vya habari vilivyoteuliwa...
Sijui Serikali inafanya nini?, hivi wao hawaoni au wanafumbia macho tu ujinga huu wa hatari unaofanywa na gazeti hili?, au wamo humo ndani kwenye kusupport hizo habari?. Kwani habari zinazoandikwa na gazeti kuhusu Kanisa Katoliki - Sumbawanga na wanachama wa CCM waliojaribu kutaka kura kutoka...
Habari LEO ni mali ya Serikali ya chama, sasa siwezi kushangaaa kwa nini wasiandike habari hizo, wanatimiza wajibu walioambiwa ila wajuie wanachofanya si kizuri, kwani wote nazani wamesahau kuwa DUNIA Tunapita tu na Uzee upo tuuuu, wakumbuke mobutu mwisho wake ulivyokuwa.
Jana usiku nilistuka sana wakati nilipokuwa naangalia kipindi cha habari caha usiku TBC 1, kuna habari moja ilikuwa ya kusikitisha ya mauaji iliyotekea Vunjo moshi. Wanahabari walielezea kwa Msisitizo kuwa yale mauaji ya familia ya Mwenyeketi wa kijiji waliochomwa moto ndani ya nyumba yalikuwa...
100% Ndugu yangu, yaani kukosa MUNGU SIJUI hata sisi tungekuwepo kwani baadhi ya viongozi wa nchi wamefikia hatua hata ya kukubali kuanzisha Project huku wakijua kuwa zina madahara kwa Wtanzania na Mazingira pia...
Source: HabariLeo, Majira ?....haya ni ya Serikari ya CCM au majira lilikuwa linamilikiwa na mbunge wa zamani wa CCM aliyefariki?...... HIYO ni propaganda TUUUUUUUUU
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.