namaanisha wakili wa kujitegemea mpiganaji mkubwa katika chadema kuwa wakili wa mtu anayetuhumiwa kuwa fisadi papa? imekaaje,maana evidence zikija kuthibitisha katika hali ya kawaida lazima uzipige chini!!!
Nilikuwa safarini kuja tukuyu,abiria akaniambia segerea wana siku ya pili hawana umeme,nimeingia hapa tukuyu ni giza totoro! Bahati nzuri nna simu ya kitochi.Nadhani nchi imefilisiwa,njiani wananchi wengi wanaishi nyumba za hali ya chini na sidhani kama wanajua kinachoendelea.nawahabarisha
kama mlisoma magazeti mwanzoni mwa wiki hii balozi wa Marekani aliwakilisha cheque ya 7.5m na kisha kuongeza ''za kwake'' 3m kufanya mchango ufikie 10.5m. Kwangu mimi natafsiri kwamba wahisani waliona mchango aliohidi kutoa waziri mkuu Mizengo Pinda wa 10m baada ya kuelezwa matatizo ya elimu na...
Tanga kwetu nimekupata! hali ilivyo ni mbaya sana bei ziko juu,mfumko wa bei (inflation) kwenye vyakula uko juu sana,kwa lugha rahisi bei ziko juu kuliko wanavyoreport inflation rate.
Kumbuka walichakachua fomula ya kukokotoa inflation, walihama kutoka wanayoita wholesale price index (WPI)...
Mgogoro wa kikatiba Tanzania: Chanzo ni nini?
Makala ya Kiongozi wa Upinzani kwenye Baraza la Wawakilishi, Mhe. Abubakar Khamis Bakari
Wah. Wazanzibari Wenzangu, Wake kwa Waume,
Wah. Wageni Waalikwa,
Wah. Salaam na Amani Ziwe Juu Yenu.
Utangulizi
Wahe. Wazanzibari;
Mada mulionipa kuiongelea ni...
Ni laana tu.raisi anataka wananchi waamini biashara yoyote ni ajira.katika macroeconomic level hii si kweli,watu wengi wako katika vibiashara hata faida ya 1500 hawafikishi kwa siku,huyu mtu bado yuko kwenye umaskini mbaya sana na si sawa kuziita ajira zinazotambulika kitaifa.am sure zaidi ya...
Kweli uchaguzi haukujali performance,sualaa si uadilifu pekee yake lazima mtu awe na proven track record ya kuleta mabadiliko katika mchakato mzima wa maendeleo,ndo maana watu walikuwa tayari kufumbia macho makosa aliyofanya magufuli kama anagepata hii nafasim
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.