"Kuendeleza wazawa ndiyo dili nzuri kisiasa" sijakuelewa hapo, siyo kwa maendeleo ya taifa na kuinua uchumi wa mtanzania? Kumbe ni kufanya mtaji wa kisiasa kwa ajili ya 2020..!! Poleni sana Lumumba.
Nyie watu mnaotumikia serikali ya awamu hii mna shida kweli, hainingii akilini eti kushindwa kufanya kazi kwa weledi ni kwa sababu mnahujumiwa na magazeti. Kweli mwandishi wa gazeti ndo aisumbue serikali nzima ishindwe kufanya kazi kisa wakenya wanawahujumu.?? Kama mmeshindwa kufanya kazi...
Leo limekuwa gazeti la Kenya!!!!! Mbona limesajiliwa tz, kama ni hivyo wangelifungia basi. Serikali haihujumiwi na mtu wa taasisi yoyote bali inajihujumu yenyewe. Viongozi wake wamejaa unafiki mwingi , uoga na hawapo huru kufanya maamuzi kwa mujibu wa mamlaka waliyopewa na sheria zinazongoza...
Kuongoza kanisa si sawa na kuongoza nchi. Tunajisahau tunapoifanya kazi ya Mungu na kutaka kufananisha na kazi nyingine za kidunia. Kazi ya Mungu inabidi iheshimiwe kila kukicha na katika kuifanya hiyo kazi misingi ya ki Mungu inapaswa kuzingatiwa. Na isichanganywe na mamlaka nyingine za...
Umenena mkuu..hata mimi haya mambo yananikera sana, hata sijui wanaume wenye hao wake wanajisikiaje kuwaruhusu wake zao kwenda kwenye hizo shughuli na kufanya hayo mambo ya ajabu!!
Huu ni uchochezi wa kikabila..Kwanini tunachafuliana sifa nzuri za makabila yetu acheni hizo vijana..wivu wa maendeleo ni mbaya hasa kusingizia mtu tajiri kaupata kwa sababu ya uchawi !!!!!!!!
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.