Jamani wote ambao tunataka kupata uhuru kamili na sio huu wa bendera ,ni wakati sasa wa kutumia kila mbinu kuiondoa hili jinamizi la magamba[c.c.m] maana hawa watu wanalaana ya mungu na hata mwanzilishi wa c.cm j.k nyerere kawaachia laana tu.ndio maana leo hii wanatapatapa tu na mambo ya uzushi
Unaweza kuwa mzuri katika midahalo lakini ukawa huwezi kutenda au kufanya kazi[delivering] kazi unazopaswa kuwatendea wale unaowaongoza,sasa tusifanye uamuzi katika suala moja tu la mdahalo tuangalie na vigezo vingine
HATA IGUNGA WAPIGE KURA ZA UDINI,KWANI JAMANI WAISLAM NI WANGAPI KUFANYA CDM ISHINDWE? NIELEWAVYO MIE SEHEMU ZOTE ZA UKANDA HUU WA ZIWA VICTORIA NA KATI JAMII HII NYINGI NI WAKRISTO NA WAPAGANI,NA TENA NI WASUKUMA AMBAO WENGI WAO NI AFRICAN INLAND CHURCH[AIC,SDA NA R.C] NA WAPAGANI PIA...
Hata igunga wapige kura za udini,kwani jamani waislam ni wangapi kufanya cdm ishindwe? Nielewavyo mie sehemu zote za ukanda huu wa ziwa victoria na kati jamii hii nyingi ni wakristo na wapagani,na tena ni wasukuma ambao wengi wao ni african inland church[aic,sda na r.c] na wapagani pia ,hivyo...
Inaonekana jamaa kaandika kupima maoni na mtazamo wa wana jf,lakini kiukweli ccm 2015 chali,maana dalili zote za kansa iliyokomaa imejionyesha kabisaaa,angalia ufisadi ulivyokisiri hata shetani mwenyewe anashangaa jinsi jamaa walivyo na ujasiri wa dhambi hii
hawa jamaa huwa ni wasanii sana wameona hali ilivyo na shutuma kuwa na udini ndio maana wanakwepa lakini pia kushika vitabu vitakatifu na umetenda dhambi yanaweza kukurudi
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.