Search results

  1. K

    Bunge Jipya: CHADEMA yapaa, CCM yaporomoka!

    Baada ya kuona CHADEMA kimepata mafanikio haya najua kila mtu atajifanya mwanachama....MAFISADI wataingia kwa nguvu ndani ya CHADEMA kwani wanajua sasa RUZUKU ya Chama ni kubwa mno baada ya kuongeza majimbo kibao!!!!! Tutegemee migongano na mivurugano kama kawaida yetu ya kutanguliza MASLAHI...
  2. K

    Elections 2010 Matokeo ya mwisho: JK aambulia 61.17%

    Is better we become positive thinkers....CCM kushinda kwa asilimia 64 inaonyesha kukua kwa demokrasia ya vyama vingi....siyo lazima Upinzani ushinde kiti cha Urais ndiyo Uchaguzi uonekane huru na waHaki....afterall, CHADEMA kushinda kiti cha Urais mwaka huu is the last thing I would expect to...
  3. K

    Dr Slaa Apinga Matokeo Yanayoendelea Kutangazwa na Tume

    Hivi ni kweli kwamba uchaguzi unakuwa HURU NA WAHAKI endapo tu Chama cha Upinzani kitashinda??? Sitaki kuamini kama hilo ni kweli....
  4. K

    Dr Slaa Apinga Matokeo Yanayoendelea Kutangazwa na Tume

    Nasisitiza... CHADEMA walimtumia Dr. Slaa kuongeza idadi ya WABUNGE lakini sikuona maandalizi yoyote ya kumpa kiti cha Urais!!! Na siyo kweli kwamba CHADEMA ina wanachama wengi, kama umetafiti vizuri utagundua kwamba wana-CCM wamepigia kura wapinzani hasa Wabunge. Na hiyo imetokana na...
  5. K

    Elections 2010 Usitafakari, Utaingia Mstuni alhahi!!!

    Ulishawahi kujiuliza, kama lengo la wanasiasa wa vyama mbalimbali ni kumuinua mwananchi mwenye hali duni....kwanini wao kwa wao wanagombana wakati lengo ni moja? Ukipata jibu utakuwa umefahamu endepo siku CCM ikitoka madarakani ndiyo mwisho wa shida zetu ama ndiyo mwanzo wa Ubepari Mpya....tafakari
  6. K

    Dr Slaa Apinga Matokeo Yanayoendelea Kutangazwa na Tume

    I hope watu wanajua madhara ya kauli ya Dr. Slaa.... CUF walishindwa kuitawala Tanzania wakitokea Pemba, vivyohivyo CHADEMA hawatoitawala Tanzania kama wataendelea kujifungia Uchagani na kuishi katika ndoto na Fikra za MZEE MTEI. Ningependa kuona vyama vya upinzani vyenye sura ya kitaifa zaidi...
Back
Top Bottom