Kwa taarifa yako umeme huo haujapita mpaka leo. Hivi ulisha chunguza umeme huo ulikopita kuna majengo makubwa makubwa na watawala kwa kuwaogopa wawekezaji uchwara wa mlimani City ambapo umeme huo ulipaswa upite, eneo toka Ubungo hadi Mlimani City upande huo hakuna watu bali ni pori tupu kwa nini...
Kwa taarifa yako umeme huo haujapita mpaka leo. Hivi ulisha chunguza umeme huo ulikopita kuna majengo makubwa makubwa na watawala kwa kuwaogopa wawekezaji uchwara wa mlimani City ambapo umeme huo ulipaswa upite, eneo toka Ubungo hadi Mlimani City upande huo hakuna watu bali ni pori tupu kwa nini...
Kumbukeni Barua ya Mtumishi wa Mungu Askofu Kakobe aliyosema kuhusiana na CCM na utwala wake. Mtayaona mengi, pengine akili za watanzania zitawarudia kwa kuyaona hayo yakitimia. Mungu ibariki Tanganyika.
Kumbukeni Barua ya Mtumishi wa Mungu Askofu Kak aliyosema kuhusiana na CCM. Mtayaona mengi pengine akili zitawarudia watanzania kwa kuyaona hayo yakitimia.
Kweli leo nimeamini kuwa mti mbaya kamwe hauwezi kuzaa matunda mazuri. Unaposema kuwa UKAWA wanasaka madaraka na sisiem kung'ang'a madaraka zaidi ya nusu karne madarakani ni nini? Sisiem wamekomba kila kitu, kila mtu yuko hoi kwa ukombaji wao. Hebu wawe wakweli katika chaguzi zote zilizofanyika...
Dawa ni rahisi nayo ni kuokoka. Kuokoka ni kutubu dhmbi kutoka moyoni na kumaanisha kuziacha dhambi hizo. Sasa fuatisha sala hii "Mungu Baba, mimi ni mwenye dhambi kwa kuzaliwa na kwa kutenda. Ninakuomba sasa unisamehe dhambi zangu zote na unipe uwezo wa kuzishinda. Asante kwa kuniokoa katika...
Huyo yeye anayelaumu kuwa watumishi wa Mungu kazi yao ni kuomba tu! Anayajua maombi? Kama yeye anafanya hivyo atuambie anaombea nchi hii mara ngapi kwa siku na anatumia muda gani kuliombea taifa hil? Hiyo PPFT ni nini? Nina wasiwasi kuwa hawa PPFT wanatumiwa na watu ambao wameipoteza Tanganyika...
Wanapohubiri hawsali. mbona unapotosha? Kama wewe ni Mkristo lazima uhubiri. Na ninakuambia hakuna mtu atakayemwona Mungu kwa njia nyingine isipokuwa ya Yesu pekee. Mimi ndimi njia kweli na uzima mtu hawezi kuja kwa Baba isipokuwa njia yangu (Yesu Kristo).N kumwona Mungu lazima mtu aokoke.
Mimi ninavyowajua majini huwa wasema kinyume na yale yanayotokea.Tunapotoa majini huwa yanasema sitoki, lakini hatimaye yanatoka yenyewe bila kutaka. Hebu NENDA MAKUMBUSHO UKAONE FORGERY ILIYOFANYWA NA MAJINI WENZAKO WAKALETA UMEME ILI KUDANGANYA MAJINI KAMA WEWE NA WATU WENGINE KWAMBA UMEME...
Watu wengine huo ushindi wa kubebwa na vyombo vya...., Nec kwa kutokuboresha daftari la wapiga kura! Kama hiyo nec ikifumuliwa tuone kama utauona huo unaita ushindi.Jana tumesoma kuwa book haram walikutana na wana vijiji wenye silaha za jadi wameuawa kama nzige kwa sababu jeshi la Nigeria ni pro...
Hakuna nabii mwizi. Billion ngapi za walipa kodi wa Tanganyika alizopelekewa Ujerumani? Halafu kuchaguliwna kwake kulikuwaje? Walishindanishwa? au ampendekezwa na hao anaowatumikia kuharibu demokrasa nchini?
Hakuna kitu hapo. Ujinga wa watanzania wengi! Ona wamepewa fulana na kupelekwa kwa mabasi mpaka mpiga picha amejisahau akapigaa na basi lililowapeka watu kwenye mkutano. Mnamdanganya nani?
If I were the Chief of Staff of TPDF I would have ordered to prison him (Komba). It starts like this can you tell how did Alquida start? Or how did the Boko haram start? He should be questioned.
Huo msitu anaodai Komba ni msitu upi? Yeye ni mwimbaji na mshereheshaji vita gani aliyopigana? Aeleze Vita ipi aliyopigana. Watu wamepewa vyeo vya kupendelewa unamdanganya nani?
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.