yani hata kama anataka kuhubiri hadi asubh. kama walikuwa wataka wangefunga tu na chaneli zote. ibaki hiyo tbisi na chn10 hewani labda ndo tungesumbuka.
by the way mwambieni anapoteza muda tumeshamilizana.
huu nao ni uongo...!! Mwenzangu unamtandao huko maana mimi nashindwa hata kupost biashara zangu na sijui hali hii ni hadi lini. Tena ndo unazidi kunitia hasira ngoja, ndo nakaribia kituoni. ntatoa hukumu yangu potelea pote!
Sikuwa na mpango wakwenda kupiga kura leo lakini kwa hili walilifanya sisim. sasa nakwenda kupiga kura na ninajua ntakapoipeleka.
Sikuwa na mpango wa kwenda kupiga kura leo lakini kwa hili walilofanya sisim. sasa nakwenda kupiga kura na ninajua kura nitakapo ipeleka. mambo gani haya?
Kama ungepata nafasi ya kushauri serikali ya awamu ya5. Katika eneo la 1.Kuinua kipato cha wananchi
2.Elimu
3.Ajira
4.Afya
5.Usafiri
6.Michezo
7.Kilimo
8.Rasilimali (Dhahabu, Almasi gesi n.k)
9.Ulinzi na Usalama.
Au lolote ambalo unadhani litasababisha kututoa Tanzania na wananchi wake wote kwa...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.