Pole sana wewe unayesumbuliwa n huo ugonjwa. Mi naona ungemuona jamaa mmoja anayetwaDr. Isaac Ndodi, ni bingwa wa kutumia daw za asili kama matunda na mbogamboga. Amewasaidia wengi sana na huwa anakuja Mwanza. Unaweza kuwapigia Startv wakakuelekeza vizuri ratiba yake. Naamini ukimuona ukiwa na...
Nmeshukuu sana kwa huo ufafanuzi. nana wewe una utaalamu wa kilimo. mimi pia ina eneo maeneo ya Kimbiji, ukipita kigamboni. mpaka sasa sijajua nilime nini. eneo lina unyevunyevu wa kutosha na kuna udongo wa mchangamchanga.
natanguliza shukurani wana JF
. vilevile sijajua misimu ya kulima.
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.