Siku zote biashara ukitaka ife, basi weka undugu. Katika biashara ukitaka iendelee kusimama, wrka watu baki ambao wataogopa kufanya hujuma yoyote kwa ajili ya kulinda kazi yao. Naitabiria Efm kifo baada ya muda fulani. Hii ni kwa sababu, atakachotaka Elizabeth kipite hata kama ni cha kijinga...
Mimi kwanza kabisa nikudharau wewe pamoja na abiria wenzako mliokubali kufaulishwa kama mzigo kwenye bus lingine. Hii taarifa unayoitoa hapa ni kama unatwanga maji kwenye kinu, bali ulitakuwa utowe SUMATRA au POLISI, ili bus hilo luchukuliwe hatua. Na kizuri ni kwamba, siku hizi namba ziko...
Usiwe mjinga kama mtu asiyekwenda shule. Kinachoshindanishwa kwenye ubora wa vituo vya luninga si ubora wa majengo au samani za ndani bali ni ubora wa maudhui ya vipindi vinavyorushwa katika kuhabarisha, kuelimisha na kuburudisha jamii.
Mtoa mada, subiri Tundu Lissu arudi pamoja na dereva wake ili watowe ushirikiano kwa vyombo vya dola, kisha ndipo utajua kwamba, mpango wa kushambuliwa Tundu Lissu ulipangwa ndani ya chadema au hapana.
Aidha katika ushirikiano huo pia utajua kwa nini Tundu Lissu alipigwa risasi mguu wa kulia...
Kwa utaratibu wa polisi hawajawa na mpango wa kuweka mhasibu wa zamu kukidhi hilo takwa la saa 24, hadi hapo takwa hilo litakapozingatiwa, kwa sasa tuendelee kutumia na kufuata utaratibu uliopo.
Hilo ni kweli, hata mimi nimekunywa jana ya lita moja, ladha yake niliona tofauti na siku zote. Ni kama maji ya tope hivi. Nilinunua hayo maji chang'ombe karibu na kituo cha bus cha usalama.
Sent using Jamii Forums mobile app
Usichojua wewe ni kwamba Joseph Kabila aliishi na kusoma Tanzania pale Mtongani Kunduchi, na baadaye alijiunga na Jeshi la kujenga taifa kambi ya Makutupora Dodoma akiwa na mgombea urais wa sasa kupitia chama chake Ramadhan Shadali.
Sent using Jamii Forums mobile app
Usihubiri ujinga hapa. Kuna watu wenye matatizo ya kikweli wanaotakiwa kuchangiwa wakiwemo wagonjwa na wasiojiweza, na si kutoa wito wa kumchangia mpumbavu aliyekubali kutumika kama tambara la deki ili waliomtumia wapate umaarufu na baada ya kutumika ametelekezwa hana thamani tena.
Tukio hili...
Usikatae, ni kweli TLS si chama cha wanasheria tena bali mashoga wakiongozwa na Fatma Karume na ndiyo maana Rais wao anapounga mkono ushoga hakuna aliyeinua mdomo kukanusha
Sent using Jamii Forums mobile app
Maelezo mengi hayasaidii. Ksa kuwz fedha zinazohifadhiwa kwenye mifuko hii ni za wanachama zilizokatwa kutoka kwenye mishahara yao, mtumishi akistasfu apewe fedha zake zote na serikali isijibebeshe jukumu la kulea wazee wastaafu kupitia mafao yao.
Kingine ni kwamba, serikali imekuwa ikizitumia...
Nakushangaa sana wewe unayewatakia mema wakati sisi wenzio ving'amuzi hivyo tangu channel za ndani zilipoondolewa tumevitia kabatini. Uliona kituo gani cha luninga ambacho taarifa yake ya habari inatazamwa na wateja wenye Smartphone tu?
Mtoa mada kama isingekuwa sheria ya matumizi sahihi ya mtandao, nilitaka nikutukane matusi yote ya duniani ninayoyajua. Naomba tu Mungu akulaani ufe bila mke wala mtoto kwa udhalilishaji huu uliofanya
Sent from my SM-T285 using JamiiForums mobile app
Wewe uliyeandika post na wewe uliyesoma, mnaona kuna mtu kupotea hapo. Yaani mtu apigwe, badala ya kwenda hospitali, yeye akarudi nyumbani, akaonana na ndugu zake, akalala usingizi hadi asubuhi, kisha ndipo aende hispitali na asirudi nyumbani. Tuache propaganda, vinginevyo mimi ningekuwa chombo...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.