Search results

  1. Silly

    Barabara ya Buhongwa - Sahwa - Kishiri - Igoma imetelekezwa

    hili walisema tayari wameshatangaza tenda au ni janja janja.. upana wake mara mita 50 mara 30 nayo ni kizungumkuti
  2. Silly

    Battle: Dar es Salaam vs Nairobi

    Nairobi wanaweza kuwa na barabara next level lakini wakija Dar wanatamani sana mwendokasi.. apo ngoma draw
  3. Silly

    Wadhamini kwenye Soka letu

    Wakubwa tuna changamoto kubwa ya kupata wadhamini wa timu yetu ya mpira daraja la kwanza (Champions). Aidha waliotangulia kwenye mpira hawakuwa watu sahihi na wamevuruga hali ya hewa kiasi kwamba mpira kwa sasa unaonekana ni ligi kuu tu. Tunatokaje hapa maana kwa kweli khali ni ngumu na kuuza...
  4. Silly

    Jamii imegoma kabisa kuhusu Magufuli? Nini kifanyike?

    Mamaanaupiga mwingi mnooo na mtashangaa TZN itarudi pale ilipostahili kuwa miaka kadhaa iliyopita. Nchi inaongozwa kwa misingi na huwezi kuishi kama kisiwa kwenye dunia ya leo, lazima uwe na ushirikiano na wadogo na wakubwa. Uwekezaji mkubwa unaofanyika sasa tutaanza kuona matunda yake mwaka huu...
  5. Silly

    Kuna uwezekano TRA idara ya Ushuru na Forodha wanamhujumu Rais Samia

    Lini serikali itakuja na mfumo wa kupokea taarifa kutoka kwa raia wema na kuzitolea ufafanuzi. Yapo mashirika ambayo yamefanya utaratibu huu na kwa asilimia nzuri matatizo mengi yanayofika kwa njia ya wazi yanafanyiwa kazi. Kwa mambo kama haya ambayo kimsingi yanaikosesha serikali fedha...
  6. Silly

    Igoma - Kishiri - Buhongwa

    Hapa kuna barabara ambalo kimsingi linahudumia watu wengi, na kwa wengi sana limekuwa ni msaada mkubwa kwa kuwawezesha watu kufika Buhongwa bila ya ulazima wa kupita mjini kati. Siku za hivi karibuni linatumika sana hata na magari makubwa na ukweli ni kwamba litakuwa ni msaada mkubwa sana...
  7. Silly

    Hata kama Rais Samia haumkubali, si sahihi kumpuuza na kumwandikia jumbe zisizo na staha

    Hakuna aliyekamilika chini ya Jua. Kwa kweli mimi naona Mama anafanya vizuri na kazi zinaonekana kufanyika bila kelele nyingiiii.. swala la machinga limefanyika vizuri sana bila kelele, washirika wetu wa maendeleo wamerudi na tunaona miradi ikitekelezwa kama ilivyopangwa. Ukweli usemwe na...
  8. Silly

    Rais Samia, angalia viwanda hivi vilivyofungwa hapa Morogoro

    Mimi nadhani asiangalie Morogoro tu bali aangalie nchi nzima. Kama tukiweza kufufua hata nusu tu ya haya yaliyofungwa amini ukusanyaji wa kodi utakuwa mara dufu maana ajira zitakazo zalishwa sio tu za viwandani bali hata sekta ya kilimo na usafirishaji itakuwa kwa kasi kubwa. Kizuri ni kwamba...
  9. Silly

    Dkt. Mwigulu Nchemba ateua wadau watakaotoa elimu ya mlipa kodi; wamo Hamisa Mobetto, Edo Kumwembe na Mbwana Samatta

    why mnawataj a hao watatu tuu... kwani hao ni katika wengi au ndio timu imekamilika
  10. Silly

    Barabara ya Igoma - Kishiri

    Hili nalo liliishia wapi, nilimsikia waziri wa tmisemi majuzi aliiongelea barabara kutoka buhongwa, kishiri, igoma. Serikali ifanye kweli mambo yamewiva,
  11. Silly

    Tunaosimama na Sabaya hatuipingi Serikali, tunapambana dhidi ya dhuluma na uonevu kwa waliojitolea kupambania Taifa

    kelele za chura hazimzuii ng'ombe kunywa maji. Kila mmoja abebe msalaba wake.
  12. Silly

    Uchumi bado Umekaza? Vodacom yajiondoa kudhamini Ligi Kuu Tanzania Bara

    Hii ni biashara ni ushindani... ni akili kubwa tu inaweza kung'amua
  13. Silly

    Mafanikio ya Rais Magufuli: Viva Rais Magufuli, viva Tanzania

    Kuruhusu chama kimoja kufanya siasa wakati vingine vimezuiwa na mwisho kuchangia pakubwa kuvuruga chaguzi serikali za mitaa na zinginezo kwa kuwahogofya wakurugenzi na watendaji wengine
  14. Silly

    Kwanini wafanyabiashara wakubwa wakutane na Rais Ikulu badala ya Waziri husika Wizarani?

    Wakati ikulu ilikuwa inatumika kwa ajili ya vikao vya chama mlikuwa wapi. Tunaomba msitupangie. Mpo wengi sana lakini juhudi zenu ongezeni kiduchu angalau hata msikike kitaa maana mmechoka hamjaanza hata kazi mliyotumwa
  15. Silly

    Watumishi wa umma wamkumbuka Rais Magufuli kuwa na hofu juu ya mishahara kucheleweshwa

    Hizi chuki mnazojaribu kupandikiza na chochezi za kitoto mtashindwa tu. Mnachelewa sana kujua Tanzania ina rais wa kwanza jinsia ambayo hamkuizoea. Kazi zitaenda na kwa taarifa zenu hizi zama ni bora kuliko zote zilizowahi kuwepo. Mnajipitisha sana kwenye mitandao mkitafuta wafuasi mtajiju wenyewe..
  16. Silly

    Siku 52: Tanzania bila Magufuli

    Rais mama Samia will do much better, anatengeneza team ambayo atafanya nao kazi kwa pamoja. Hii unayoona ametangaza ni kuwa muwazi tu. Ina maana asingelisema wewe ungejuaje. Tujifunze kutofautisha na kuheshimu mamlaka. Mama atafanya vizuri zaidi maana hata huko unapopasifia naye alikuwa sehemu...
  17. Silly

    Je, kuna ubaya kwenda kumjulia hali na kumpa pole Mama Janeth Magufuli?

    Akili finyu sana kuhusisha na siasa kila kitu. Wazo la kumjulia hali sawa lkn kumtumia kisiasa ni finyu sana.
  18. Silly

    Hili la vibali vya kazi Rais ashauriwe zaidi

    mkuu hii inaweza kuwa tafsiri yako. najua rais ana timu kubwa sana na wapo watafanya tafsiri sahihi ambazo ndo zitafanyiwa kazi. jamani tumpe ushirikiano 100%
  19. Silly

    Kikulacho ki nguoni mwako, RIP Magufuli

    Mkuu heshima yako, ila kwa uliyoyaona wewe umeyaona. Tuliyoyaona sisi nasi tumeona, tofauti zinaweza kuwa ni ndogo au kubwa lakini zipo. Jinsi yakuzielezea tutatofautiana. Ila kwa sasa na kwa siku nyingi sana, Rais anagusa pale ambapo wengi sana tulitegemea na furaha inayotawala sasa acha...
  20. Silly

    Rais Samia Suluhu Hassan, ondoa kikwazo hiki na historia itakukumbuka

    Big brains at work, mawazo mazuri sana nimeelewa kwenye kuweka misingi ili mfumo ufanye kazi, inawezekana mfumo ukajengwa kuanzia sasa na ndani ya miaka miwili ukawa umekamilika. Natamani watawala wangekuwa wanapita humu kuona mawazo +ve na kuyaweka kwenye think archive zao.
Back
Top Bottom