Huyu Mama nafikiri haijui Demokrasia vizuri, kama angekuwa anaijua yeye pamoja na CCM wasingeweanyima wananchi demakrasia yao ya kuchagua Rais, nafasi ambayo ni nyeti sana kuliko zote, kwa kuchakachua inaonyesha ni kiasi gani demokrasia isivyoheshimiwa. Na ni wazi kuwa anasingizia demokrasia...
Katika sheria za uchaguzi ni kwamba baada ya matokeo kutoka kila mgombea anapaswa kusaini kukubali matokeo, nauliza iwapo mgombea hakukubali matokeo na kagoma kusaini nini kinafuata. Maana katika uchaguzi uliopita Dr. Slaa hakusaini yale matokeo na mchakato wa kuapishana unakendelea hiivi...
Kumbuka pia watanzania wengi sasa hivi wamefugua amcho hawachagui vyama wanaangali anani atatufaa au nani kafanya nini kwao. Uliza siri ya Prof. Tibaijuka kushinda kwa kishindd. Ni matokeo ya kazi zake. ZInaonekana sio maneno tuu
Dr. Slaa itisha maandamano Nchi nzima kupinga matokeo bila hivyo hakutakuwepo na somo watakalojifunza. Tunataka Dunia ijue kuwa wamechakachua kama walivyofanya IRAN, KENYA, ZIMBABWE na kwingine kwa madikteta kama hawa, Huu umekuwa utaratibu sasa wa CCM kuchakachua. Kukomesha ni kuingia mtaani.
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.