Ndio hiyo match aliyodaka shikalo na tangu siku hiyo yanga hajawahi fungwa tena na Azam
Pia alifunga match ya mwisho Kwa penalt iliyoisha Azam 2 yanga 3(Aziz [emoji2785])
Siyo kocha jina
Bruno ni kocha msaidizi(ndani ya Azam club) ila kwa kuwa ana vigezo vinavyotambulika na TFF kuwa kocha mkuu dhidi ya dabo ndio maana kule TFF anatambulika kama kocha mkuu na dabo kocha msaidizi
Club ya Yanga imemtoa mshambiliaji wake Kwa mkopo kwenda coast union ya Tanga Hadi mwisho wa msimu
Hii itakuwa ndio kuagana mazima. Ngushi akijirekebisha makosa yake madogo madogo Bado ni mchezeji mzuri akipewa nafasi cost uniuon namuona akirudi kariakoo
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.