...hebu muacheni aeleze masahibu yaliyomkuta..usimuhukumu kwa makosa ya wahindi wenzake hio sio sawa....Suala la ajira ni maamuzi ya mwenye kampuni aajiri mtu wa namna gani...Na wewe fungua kampuni yako uajiri waafrika wenzako hakuna atakaekuuliza...
Kwa mtaji huo, huna haja ya kutafuta eneo là biashara, we nunua bidhaa kama nguo, urembo, mwaga barabaran siku hizi machinga wameruhusiwa.....au fanya biashara ya kuuza kahawa inalipa sana
kama morali inasaidia timu zote zinazocheza uwanja wa nyumbani zingekuwa zinashinda maana zinach3za mbele ya mashabiki ,viongozi wao...kama hujui hujui tu hayo mambo ya morali ni uongo mtupu
na Israel nao wanategemea kila kitu kutoka Marekani mfano chakula, silaha, ... jeshi la israel linamilikiwa na Marekani kwa asilimia 80... dah..haya maisha haya
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.